kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,369
Baba ni baba tu ata kama alimkimbia mama yako. Sasa huu ujinga wakumthamini mmoja na kumtupa mwingine umeanza lini? Hakuna vya sperm donor au sperm maji always baba ni baba tu.
Tambua bila huyu unaye muita sperm donor wewe usingelikuja duniani, Yeye ndo kakufanya uwe duniani. Sasa mafanikio kidogo tu una muita baba yako sperm donor na wakati mwingine muwe mnauliza mama zenu sababu za baba zenu kukimbia pengine mama zenu ndo chanzo.
Nawashauri wazee wenzangu mtoto akikupiga chini na wewe mpige chini tu. Alafu muachie Mungu, Na yeye watoto wake watamtupa chini hatakama aliwajali na kuwathamini.
Always ubaya hujirudia. Samehe ili na wewe usamehewe. Ndo maisha yalivyo.
Tambua bila huyu unaye muita sperm donor wewe usingelikuja duniani, Yeye ndo kakufanya uwe duniani. Sasa mafanikio kidogo tu una muita baba yako sperm donor na wakati mwingine muwe mnauliza mama zenu sababu za baba zenu kukimbia pengine mama zenu ndo chanzo.
Nawashauri wazee wenzangu mtoto akikupiga chini na wewe mpige chini tu. Alafu muachie Mungu, Na yeye watoto wake watamtupa chini hatakama aliwajali na kuwathamini.
Always ubaya hujirudia. Samehe ili na wewe usamehewe. Ndo maisha yalivyo.