Nauza YouTube channel Yangu link Yake
https://youtube.com/@afroafricaa
Ina Subcriber 128k
Ipo complete Na Adsensens Yake
Aina Ya Mauzui Niliyo Kuwa Na post Ni Comedy
Nipo Ubungo
Nicheke Kwanamba 0782373183
Sijui Wewe Unaishi Wapi Labda sehemu Ya Kishua, Uko Kwenu Munakosa Vibe La Uswahilini,
Unajua Maisha Ya Uswahilini Wewe Ukiachana Na Misosi Ya Tofauti Kama Miguu Ya Kuku Viazi Viwili Na Mitomatoes, Supu Ya Mapupu , Kuna Videmu Vyetu, Vichula Vyetu, Vinchenchede, Viswaswadu.
Unajua Nini Uku...
Unaweza ukawa na mwanamke mzuri ila mwenye kiburi, jeuri sio kesi sana sababu anaweza badilika.
Nivipi ukiwa na mwanamke mzuri na uwezi kumtumia kisa tu una upungufu wa nguvu za kiume. Hapa lazima uchanganikiwe kama mwanaume.
Acha nikupe kisa jinsi nilivyomla mke wa jamaa wa wizara fulani...
TECNO COMON 15
RAM 4 GB
STOREG 64 GB
INTERNET 4G
BEATRE 5000AH
ADROID VISION 10
BEI NI 130000 FIXED
INA CREK KIDOGO KWENYE KIOO ILA INA PIGA KAZI VIZURI
CALL 0710792664
Nipo UBUNGO MAKOKA KWA MKUA.
Dunia imejawa na wanawake wazuri siku izi wanajiita pisi kali,
bwana weeee mimi nimepoteza uwezo wakutongoza japo izo pisi kali zipo nyingi kama Mchele wa kyela mwezi wa 6 si unajua lazima ushuke bei kwa buku kapu linajaaa ,
Na kwambia ukweli wasingekuwapo dadapoa ningepewa umakamu mwenyekiti...
Auwezi Amini mapenzi wakati mwingine ni kama tembele ata nyuma ya choo yanastaw.
Ningekuwa mtoto wakike sijui ningeitwaje ila sababu ya kuwa wa kiume nikaitwa katoto ka shenzi, nikiwa na Miaka 16 tiyari nilimpa mimba na kusababisha mama wa Miaka 44 Kuzaa....
Unafikili ningeitwa nani kama sio...
nilipo kuwa mtoto nilikuwa nikimuona mzee ajafanikiwa nilikuwa najiuliza ivi uyu alikuwa atafuti pesa mbona masikini ivi.
Ila sasa natambua kumbe wengine wamefungwa vifungo vibaya Sana na ndungu wa ukoo,
Unawezafungwa akuna kuoa au kuolewa, akuna kusoma ata ukisoma ufanikiwi, acha tu duniani...
Kuzaliwa, kusoma, kazi kisha ndoa, watoto, kujenga nyumba kusomesha watoto kisha kifo maisha ni nini?
Kuwa na pesa nyingi bank kama mzigo wa haja kwenye public toilet, maisha ni nini?
Au maisha ni pesa, mapenzi kisha furaha ndio hivyo au nimekosea?
Pengine maisha ni kuishi duniani kama...
Kama unarafiki au ndugu ambaye sauti yake inafaa kufanya mambo ya entertainment , Na utangazaji tuwasiliane 0714248444 and WHATSAPP
kazi itakuwa ni YouTube, online channel
Maswala ya posho yatafanyika
Chanzo cha habari ni global TV
Mwanaume amelalamika kuwa mkewe alileta HIV ndani , pia aliendelea kutenda mambo ya ovyo ndipo ninja akafanya yake.
Wanawake hakikisheni mnapambana kutengua kifungu kinacho sema , KIFO NDICHO KITACHO WA TENGANISHA
ukinitendea makosa Kila siku , visa na makosa...
Mtoto akifika umri wa miaka mitano michezo uongezeka, apa mtoto ujaribu kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja, utokomea nyumbani Na asionekane adi jioni , awezi kujali mda wa Kula yeye Na michezo Na wa toto wenzie, wenyewe wanasema kudimba,
Ufanya makosa ya kujiludia mara kwa mara , ni wakati...
Na amini dunia ilikuwa sehem salama Ila alipo letwa mwanamke mambo yote yakawa yalivyo Sasa,
Kuwa mama Bora,sikufanya wa toto wamchukie baba yao, Bora kuishi Na mwanamke -MALAYA Ila sio mchawi,
Fikili machungu anayo yapata mwanume aliye fungwa nyeti zake zisifanye kazi kwa wanawake wengine, ni...
Nipo zang uswahilini mabibo , mambo mengi Na mihangaiko ya kupata pesa ya Kula miguu ya kuku Na viazi kwa mama muu inapatikana.
Ugwadu Na upweke,asikwambie mtu .. puchu sana bafuni Adi gobole limetoa sugu..
Basi bhana pita pita zang mtaa ,nikaopoa mdada shape kitunguu ,minyonyo Sasa acha tu...
Nyimbo ya kwanza kumtambulisha ommydimpoz kwenye bongo fleva ni
Nai nai , ommydimpoz fet alikiba
Published Jan 15,2012
Nyimbo ya pili ni
Kajiandae ommydimpoz fet alikiba
Published Nov 5,2016
Nasasa ni rockstar
Ommydimpoz fet alikiba
Published Apr 16,2019
Pasipo alikiba ommydimpoz si...
Fanya laini yako iwe ya chuo Kwa bei cheeee kabisa . Ni tigo pekee tu
Call me 07142....... HUDUMA KWA SASA IMEFUNGWA .......XXXXXXX au nitumie sms
Malipo ni bahada ya laini yako kuwezeshwa.
Unaweza uka ni pm au comment namba yako .
Malipo ni Tsh2000/= pesa ya kitanzania
NEW UPDATE 13/07/2019...
Diamondplatnumz ,Aytanzania,Alikiba ,benpol Na wengine wengi .je Dada zetu awana mvuto Na ushawishi.
Sasa kuna sababu nyingi zinazo Fanya wasani wa kiume kuvuka mipaka ya inchi kwenda kutafuta dodo .sababu moja kubwa ni wanawake wa level zao wengi wao wamewatumia Kwa kupokezana mfano .jokete...
Kunajamaa uko ig ana trend sana . Nichapombe kumshinda mganga wa jf mshana jr.
Jamaa anapiga mtungi uku anasema ..mama nakufaaa eeeeeee mama ..eeeeeee konk fire.
Ili sasa kapata ajali ya gari nakuvunjika mguu . Kawekewa antena mguuni Bila king'amuzi ..
Mke wa mtu sumu ukiambiwa uwe unakubari ewe bachera sugu.
Jana nilipigiwa simu na mchepuko wangu " njoo home jamaa kaenda Zanzibar"
Kijana nikala karanga mixer mihogo vipande vya nazi , tende,mchuzi wa pweza eti nikapige show ya Kibabe .
Leo asubuhi nimekula magimbi Na mchuzi wa pwenza mchana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.