never Se me
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 702
- 1,013
Na amini dunia ilikuwa sehem salama Ila alipo letwa mwanamke mambo yote yakawa yalivyo Sasa,
Kuwa mama Bora,sikufanya wa toto wamchukie baba yao, Bora kuishi Na mwanamke -MALAYA Ila sio mchawi,
Fikili machungu anayo yapata mwanume aliye fungwa nyeti zake zisifanye kazi kwa wanawake wengine, ni maumivu kiasi Gani anayo yapata mwanume aliye chafuliwa sura, kiasi kwamba ata -MALAYA wa kununua anikatae,
Maumivu kiasi Gani anayo yapata mwanume uliye mchawia ashindwa kupata pesa , akipata ni ya Kula tu.
Pengine duniani nilikuja kufanya nini, unaweza ukasema kwa nini nilizaliwa Na wazizi Kama nyinyi,
Inafika atua unatamani kumuliza baba yako, kwanini alifunga ndoa Na mama, alipo gundua mama mchawi,mdomo wa ovyo, kisilani, si angemuacha ili Mimi nisizaliwe kwenye matatizo Kama Aya, ANGEFANYA NINI IKIWA MAMA ALIMFUNGA ASIWEZE ATAKUPATA MCHEPUKO
KUWA MAMA BORA SI KUWAFANYA WA TOTO WA MCHUKIE BABA YAO
Kuwa mama Bora,sikufanya wa toto wamchukie baba yao, Bora kuishi Na mwanamke -MALAYA Ila sio mchawi,
Fikili machungu anayo yapata mwanume aliye fungwa nyeti zake zisifanye kazi kwa wanawake wengine, ni maumivu kiasi Gani anayo yapata mwanume aliye chafuliwa sura, kiasi kwamba ata -MALAYA wa kununua anikatae,
Maumivu kiasi Gani anayo yapata mwanume uliye mchawia ashindwa kupata pesa , akipata ni ya Kula tu.
Pengine duniani nilikuja kufanya nini, unaweza ukasema kwa nini nilizaliwa Na wazizi Kama nyinyi,
Inafika atua unatamani kumuliza baba yako, kwanini alifunga ndoa Na mama, alipo gundua mama mchawi,mdomo wa ovyo, kisilani, si angemuacha ili Mimi nisizaliwe kwenye matatizo Kama Aya, ANGEFANYA NINI IKIWA MAMA ALIMFUNGA ASIWEZE ATAKUPATA MCHEPUKO
KUWA MAMA BORA SI KUWAFANYA WA TOTO WA MCHUKIE BABA YAO