Search results

  1. wakatanta

    Inasikitisha sana, Salawe eneo lililopo mkoa wa shinyanga zimetumika shilingi billion moja na ushee zahanati haijakamilika

    Hii nchi ukifikiria sana unatamani yafanyike mageuzi makubwa sana ya sheria zetu kuhusu wabadhirifu wa mali ya umma,tunawadekeza sana,aidha inawezekana watunga sheria ndio wabadhirifu wenyewe hivyo hawawezi kujichoma kisu wenyewe, Imagine awamu ya tano kwa pesa hiyohiyo tuliweza kujenga...
  2. wakatanta

    Tutahakisha Makamba anawajibika kwa madudu aliyofanya TANESCO akiwa hukohuko Mambo ya Nje

    Huu sasa ndio muda muafaka Wizara ya Nishati kumulikwa kwa kuundwa Tume Huru ya Kibunge kuchunguza matatizo yaliyopo. Waziri aliyehamishwa wakati anaingia wizara hiyo alitoa kila aina ya sababu za kukosekana ufanisi Nishati hasa umeme. Mengi alizungumza, nitataja mawili; 1. Ukame, 2...
  3. wakatanta

    Azam TV wana mtu anaitwa Faraja Sendegeya huyu ni nani?,naomba profile yake kwa anayemfahamu

    Mjadala ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2024/2025 Huyu jamaa nahisi ni msomi mmbobezi aliejificha kwenye uandishi na utangazaji wa TV Hii ni hazina kwa taifa tuitumie
  4. wakatanta

    Waziri Mchengerwa msaidie Rais Samia, Halmashauri nyingi zimejaa ufisadi. Nitatolea mfano Halmashauri ya Geita mjini

    Naandika haya nikiwa nimefanya utafiti wa kutosha kabisa kuhusu halimashauri za miji isiopungua 15 hapa nchini,kuna ubadhirifu mkubwa sana wa fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo zinazoelekezwa kwa wananchi ,(no value for money). Michezo hii inafanywa na baadhi ya watumishi wasio waaminifu...
  5. wakatanta

    Msaada, hii gari uki reverse kuna mlio wa kukita na ukiweka drive pia inakita hili ni tatzo gani?

    Ndugu wanajukwaa hasa mafundi wa magari,kuna gari ya anko wangu aina ya RV4 J,ukiweka reverse au kwenda mbele hukita mlio flani,hili tatizo halikuwepo kabla. Je, ni tatizo gani na linaweza tatulika kwa gharama kiasi gani?
  6. wakatanta

    Hakuwa maarufu kama walivyotaka kuaminisha Watanzania

    Ilitumika nguvu kubwa sana kuaminisha Watanzania kwamba ni zaidi ya alie msimanga, Mpaka sasa hakuna tena nyuzi muendelezo kumuhusu. Baada ya mwaka hakuna atakae jua kama aliwahi kuwepo, labda wapambe wake wachache tu. Lakini Jiwe mpaka leo wanahema nae tu kila uchao
  7. wakatanta

    Mabadiliko ya wakuu hawa wa mikoa ililenga kumfichia aibu Amos Makalla na waliompendekeza

    Mabadiliko haya iltakiwa Amos Makala aachwe,kazi imemshinda,kama ambavyo Magufuli aliona hafai. Kwa kuwa Makala ana Magodfaza, Rais Samia akaambiwa amteue, ukweli umedhihirika si chochote, hata huko mwanza anaenda kuchemka tu, ana mambo ya Kiswahili Swahili sana. Badiliko la Adam Malima na...
  8. wakatanta

    Hukumu dhidi ya Cyprian Musiba versus Membe ilikuwa ya kisiasa na ililenga kuwaziba midomo whistleblowers

    Kiukweli ile hukumu ilikuwa ya kibabe,kisiasa iliyolenga kutisha watanzania katika kuusema ukweli dhidi ya Baadhi ya viongozi waliolitumikia nchi hii lakini kama wanadamu wanamapungufu,ikiwemo kujilimbikizia mali, tamaa ya madaraka ni kujiona wao ni bora,nchi mali yao na hawagusiki,ukiwagusa...
  9. wakatanta

    Rais Samia usijisifu kukaa meza moja na CHADEMA hasa Mbowe, hao ni walaghai wa kisiasa tu

    Naona Rais wetu unaamini kukaa meza moja na chadema hasa Mbowe ndio unapata amani ya kuongoza taifa,si kweli kabisa. Rais Samia unaatakiwa utafute suluhu ya kero za watanzania wengi maskini wenye hali mgumu ya maisha, wakiumia na mfumuko wa bei za bidhaa mbalimbali nchini, na wengi wao hawataki...
  10. wakatanta

    UVCCM na CCM kwa ujumla tokeni hadharani kukemea kauli ya Mzee Makamba kama mlivyofanya kwa Dkt. Bashiru

    Nikitafakari sana namuonea huruma sana rais Samia, kazingirwa na genge baya sana, akiamini ni wema kumbe wana yao moyoni, hasa kujilimbikizia mali za umma. Kati ya hawa makatibu wawili, Bashiru Ali na Yusuf Makamba nani katoa kauli mbaya? cha ajabu BASHIRU ALI alishambuliwa kila pembe, lakini...
  11. wakatanta

    Sasa ndiyo muda wa Bashiru Ali kupewa ukweli, tumechoka na mpango wao

    Huyo ndiye Dr. Bashiru ninayemjua mimi. Mimi sikushangazwa kabisa na kauli imara na madhubuti aliyoitoa Dk. Bashiru hapo juzi kule Morogoro, zaidi niliwashangaa wanaomshangaa na kumsema vibaya kisa tu kaamua kusema ukweli wake wa moyoni. Na kama ambavyo taaluma yake ya uzamivu katika sayansi...
  12. wakatanta

    Rais Samia ruhusu wananchi wakueleze kero zao kwenye mikutano yako ya hadhara, na yanayowezekana tatua papo hapo

    Ushauri huu utakusaidia kuelekea 2025,mtindo huu ulimjengea sifa sana Raia hayati Magufuli,kwasababu wasaidizi wako wengine ni wahuni,hawaelezi matatizo ya wananchi kadhalika kuyatatua,kazi yao ni kukusomea risala tu, wakati wananchi wanamadhira kibao. Ingawa hutaki kuiga mfumo wa hayati Rais...
  13. wakatanta

    CCM wajumbe wengi wa NEC taifa ni watu wenye pesa na wamehonga kupata nafasi hizo, tutarajie nini huko mbeleni?

    Nayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha, nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala ya siasa zaidi ya biashara,hii imepelekea wanaccm wafiia chama kushindwa kupenya. Hii CCM ya sasa...
  14. wakatanta

    Endeleeni kubagaza hoja za Luhaga Mpina, ila mbeleni ataibuka shujaa, hasa hili la misamaha ya kodi

    Hii nchi ukitafakari sana utajua ya kwamba tunakosa viongozi wenye maono na wazalendo kwa taifa hili na inapotokea kiongozi mzalendo na mchapakazi basi ujue nchi hii sio mahala pake. Hakuna maendeleo na upatikanaji wa huduma za kijamii bila ya uhakika wa mapato ya serikali hasa kodi. Luhaga...
  15. wakatanta

    Mwenye profile ya mbunge Mariam Ditopile aiweke hadharani hapa jukwaani tafadhali

    Akichangia wizara ya nishati alifanya vituko vya hovyo sana, imani yangu hata aliyemtuma kumpigia promo (Makamba jr) alijisikia vibaya sana, alifanya mambo ya kijinga sana, hakuwa makini katika kufanyia kazi ujira aliolipwa na January. Wabunge hawa tuwa note, ni kirusi kibaya sana kwa taifa letu
  16. wakatanta

    Job Ndugai ulikuwa sawa, kosa lako ni kuomba msamaha

    Kauli yako ilipokelewa kishujaa sana ,baada ya Rais Samia kukujibu ulitakiwa ujiuzulu ,kosa ulilofanya ni kuomba msamaha ,hapo kwa kweli uliharibu sana sana tu. Hoja yako ilikuwa makini sana ,kwanini tukopekope hovyo huku bidhaa kama mafuta,chakula,mwananchi kubambikwa kodi na tozo mbalimbali...
  17. wakatanta

    Ni kweli tunahitaji wawekezaji wa win win situation,sio wawekezaji matapeli wa kampuni za kwenye briefcase

    Naunga mkono uwekezaji wenye tija kwa taifa ,hasa kwenye terms and conditions zenye kulinufaisha taifa. Hapa serikali iwe makini sana,kwani msafara wa mamba na kenge wamo ,tusije furahia namba ya investors kuwa kubwa lakini taifa halinufaiki lolote . Katika hao wawekezaji watakao kuja kuna...
  18. wakatanta

    Mkanganyiko wa kauli ya Mzee Mangula, Rais Samia, Waziri Mwambe na ya Hayati Magufuli inaonyesha Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni ‘White Elephant’

    Huu mkanganyiko wa kauli za hawa viongozi waandamizi wa chama na serikali kuhusu bandari ya Bagamoyo inaonyesha kuna madudu sana ndani ya terms of contract,na hii inatokana na baadhi ya viongozi wachache waliolenga kujinufaisha na mradi huo . Rejea jinsi dharura iliyotumika kupitisha miswaada...
  19. wakatanta

    Waziri na Bodi ya Nishati mlianza kwa kutupiga Tshs bilioni 65 kwa kufunga rada wakati hakuna umeme wa uhakika

    Waziri January Makamba ulipoingia wizarani baada ya kuunda bodi ya wakurugenzi haikupita muda mkaingia mkataba wa dola million 30 na kampuni ya kihindi ya Mahendra kwa ajili ya setelite. Huu ni wizi wa mchana kabisa tena wa mapema ukifumbiwa macho na utawala. 1. Kama miundo mbinu mibovu...
  20. wakatanta

    Makamu wa Rais wa hayati Magufuli ilifaa awe Dkt. Hussein Mwinyi

    Huyu kiongozi wa Serikali ya mapinduzi zanzibar akiwa msaidizi wa hayati Magufuli alifundwa haswa akufundika katika style ya uongozi, Baada ya kutawazwa kua Rais Zanzibar,aliifumua serikali haswa ,kuondoa viongozi mazoea ,kuleta damu mpya akichanganya wachache waaminifu wenye weledi. Pia...
Back
Top Bottom