Hata mimi nilishawaza kama wewe, jamaa anajua kujenga hoja kweli, sio Leo tu nimemfatilia kwenye mahojiano mbali mbali, akiwa na Mada unakuta anahoja kwelikweli, yani unamuona tu yuko vizuri kichwani kwakweli.Mjadala ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2024/2025
Huyu jamaa nahisi ni msomi mmbobezi aliejificha kwenye uandishi na utangazaji wa TV
Hii ni azina kwa taifa tuitumie
Mjadala ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2024/2025
Huyu jamaa nahisi ni msomi mmbobezi aliejificha kwenye uandishi na utangazaji wa TV
Hii ni azina kwa taifa tuitumie