Salamu zenu jamani watu wa humu...habari za kazi zenu popote mlipo..mm ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti nimedumu nae ktk uhusiano kwa mwaka mmoja na Kama miezi miwili hvi,huyu binti ni mwanafunzi wa chuo,binti wa kinyaturu,mweupe ,mrefu na n mzuri hakika aisee...
Kipindi...
Nimeamin mwanamke wa kuoa yafaa awe na tabia nzuri tu,hata sura isipovutia kivilee tutavumiliana tu....Ben ana sura nzuri kulko mkewe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli maisha ya ujana yana changamoto sana ila leo nahitaji kuweka moja tu ambayo huwa IPO kwangu na kwa vijana wenzangu ambao bado hawajaoa .
Changamoto hii ni suala zima LA kusali na kumuabudu Mungu ktk ujana huu ...mm kama kijana ambae sijaoa ila nina mpenzi nakosa ujasiri wa kwenda...
Kipindi nakua na kuishi huko kijijini kwetu hakika ukoma ulkuwa ni ugonjwa ulioogopeka sana ..uliwekwa ktk hadhi sawa na UKIMWI na watu waliamini hakuna dawa za hospitali zinazoweza kuutibu ugonjwa huu...pia waliamin na bado wanaamini hadi sasa kuwa ukoma ni ugonjwa wa kuambukizwa kwa kufanya...
Kiukweli mm mdogo wangu amenitangulia kuoa,na Leo n sherehe ya harusi yake....
Mm naishi DSM na kwetu n mkoani huko sasa ndio nikapewa hbr za hyo harusi...nmefurah lkn kwa upande mwingne nahis kama nimezubaa hadi dogoo kaniwah...nmempigia bi mkubwa kanicheka sana,kasema namm nichangamke et...
Nmesikitika kwa taarifa nilizozikuta huko mitandao mingne kwamba BASATA wamewataka Rostam waufute wimbo wao wa parapanda kwenye account ya YouTube...
Binafs hili baraza nahisi wanakoelekea n kuua kabisa sanaa ya muzik wa kizaz kipya..nmeusikiliza huu wimbo kama Mara kumi HV lkn sijaona makosa...
Mm kama kijana wa kiume ambaye ntakuja kuoa miaka si mingi sana kuanzia sasa nawaasa wale wenye ndoa nzuri zenye furaha wawe wanakuja kutoa wosia na kushuhudia ndoa zao huku jf...
Nasema HV kwa sababu ,toka niingie jf na hasa jukwaa LA mahusiano nakutana na mada zilozogubikwa na migogoro sana...
Kuna utaratibu wa vikundi vya dini uko huku vyuoni wa kuwasaidia watoto yatima..kiukweli n tabia nzuri na hata mm napenda sana...
Lkn shida imekuwa moja...mpk binafs nmeanza kuuchukia...kilichonifanya niuchukie n kitendo cha watoa msaada wanachofanya baada ya kutoa msaada wenyewe...yaan...
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development contribution?
Huwa najaribu kufikiria how this life would have been possible kama Mungu asingeumba watu hao...
I am looking for friends both males and females to chat with and share different ideas and life experiences in general....I currently stay in DSM for academic reason.I am a male taking my undergraduate degree in Doctor of medicine (MD) at Muhimbili university of Health and Allied Sciences...
Naomba kuuliza jmn ,hivi na haki kweli kuwa na demokrasia ktk suala la mahusiano, yaan mwanaume na mwanamke kuwa na haki sawa? ..mm binafsi kwa sasa naona sio sawa kabisa ,niliwah kuweka haki sawa na mpenz wangu yaan kila kitu had tukubaliane wote ndio kifanyike ila baadae alianza kuniletea...
Hivi kati ya kuwa na mwanamke mwenye uwezo wa kutengeneza kipato chake mwenyewe ila hana heshima kivile, ana dharau yaani kukufokea haoni tabu na kuwa na mwanamke ambaye yeye fedha hana na uwezo wa kutengeneza fedha ni changamoto mpaka umuwezeshe kisawasawa ila kizuri chake ni kwamba...
Naomba kuwauliza mlioa jamani...
Hivi ukimuomba msaada kaka yako wa damu kabisa uwe ni wa pesa au hata kitu chochote ambacho kipo ndani ya uwezo wake lakini yeye badala ya kukupa wewe mdogo wake anakwambia kwamba unatakiwa ukamuulize mke wake kwanza yaani shemeji yako, akikubali ndio utapewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.