Wanawake wa hivi kumbe bado wapo

Wanawake wa hivi kumbe bado wapo

Glenohumeral joint

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2017
Posts
2,055
Reaction score
2,914
Nmeshangaa huyu mwanamke wa rafiki yangu aisee, ni bahati kupata mtu wa hivi.
Screenshot_20191108-134615~2.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20191108-134615~2.jpg
    Screenshot_20191108-134615~2.jpg
    47 KB · Views: 13
  • Screenshot_20191108-134615~2.jpg
    Screenshot_20191108-134615~2.jpg
    47 KB · Views: 12
Sasa cha ajabu nini? Inaonekana mnakutanaga na vimeo sana mpaka hiyo unaona inashangaza!
 
Nimeutolea macho uzi kwakujua nitakuta maajabu mengine yahawa viumbe kumbe Holla!!

Yaani hapo kama vile umpe joti sini yakuigiza mwanamke alafu umwambie akafanye mazoezi mwezi mzima nahisi atabaki anakushangaa
 
Alikushitukia kwamba unamtega hivyo ame dance your tune.wewe malizia hiyo nyumba kwenu ila ukimalizia tararibu za kumuoa kwao utajenga ghorofa
 
Vitu vya kawaida sana apo kajua kucheza na akili ya mumewe.....akizitaka nyingi zaidi haitamsumbua
 
Sasa cha ajabu nini? Inaonekana mnakutanaga na vimeo sana mpaka hiyo unaona inashangaza!
Mtoa mada mwenyewe mtoto, rafiki ake mwenyewe mtoto, mambo gan hayo hayo adi kufowardiana msg wanazochat na mwenzie
 
Kwani nyie wakaka mnatuchukuliaje yaani, hiyo sms mbona kawaida tu tena kwa mtu na mumewe , msihisi tunapenda sana mizinga sasa ,mnaboaa
 
Back
Top Bottom