BASATA mna nini na Rostam jmn...

BASATA mna nini na Rostam jmn...

Glenohumeral joint

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2017
Posts
2,055
Reaction score
2,914
Nmesikitika kwa taarifa nilizozikuta huko mitandao mingne kwamba BASATA wamewataka Rostam waufute wimbo wao wa parapanda kwenye account ya YouTube...

Binafs hili baraza nahisi wanakoelekea n kuua kabisa sanaa ya muzik wa kizaz kipya..nmeusikiliza huu wimbo kama Mara kumi HV lkn sijaona makosa makubwa waliyofanya hadi kufikia hatua ya kuambiwa waufute huu wimbo Mara moja.....nmekereka sana na hili Baraza .....

NB:Kama hujaupakua Fanya fasta tu maana ngoma haitakuwepo YouTube soon.....
 
Nmesikitika kwa taarifa nilizozikuta huko mitandao mingne kwamba BASATA wamewataka Rostam waufute wimbo wao wa parapanda kwenye account ya YouTube...

Binafs hili baraza nahisi wanakoelekea n kuua kabisa sanaa ya muzik wa kizaz kipya..nmeusikiliza huu wimbo kama Mara kumi HV lkn sijaona makosa makubwa waliyofanya hadi kufikia hatua ya kuambiwa waufute huu wimbo Mara moja.....nmekereka sana na hili Baraza .....

NB:Kama hujaupakua Fanya fasta tu maana ngoma haitakuwepo YouTube soon.....
Hujaona makosa makubwa, madogo ni yapi?
 
Back
Top Bottom