Mimi ni mkazi wa Gairo nimefanyakazi kwa Shabiby kwenye miaka 90 mwishoni. Jamaa ni mpambanaji hakuna uchawi wala pembe za ndovu.
Shabiby aliacha shule kidato cha 2 akaingia shambani kulima mahindi huku akianzisha biashara ya kuuza mafuta kwenye videbe, mtaji ukakua akaanzisha kijisheli pale...
Asilaumiwe mchezaji wa Simba,alaumiwe Mke wa mshikaji.kwani mpaka amkubali kumvulia ch*pi huyo mchezaji hakujua ya kwamba ana mume ambaye wamefunga ndoa?
Kwani huyo mwanamke angekataa yote hayo yangetokea?
Labda useme alibakwa,acha kumlaumu mchezaji wa Simba mlaumu mkeo.
Wanawake jitambueni...
Hivi mzungu akiongea kiswahili broken naye huwa anachekwa?
Bongo kikubwa vyeti.
English language imekuja na meli.
Congole professor wangu kama mlikimbia umande shauri yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaingizwa mjini wewe,siku hizi wanawake wamekuwa wabunifu sana,KUNA BIKRA ZA KUTENGENEZA Sasa njoo kichwakichwa kama hujalizwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchumi tunao lkn tunaukalia,Kuna nchi wanatangaza mlima Kilimanjaro ni wa Kwao,Cc tupo tu tumebung'aa.
Hatujitangazi wazungu watatujua je?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.