Hivi humu Jf ni mimi tu niliyepo bongo?

Mmmh lunch ya buku unakula mpaka unafungua vifungo? We utakuwa mwanaume wa Dar
Bongo raha lunch ya buku pale Uhasibu kwenye mabanda unakula mpaka unafungua vifungo, ikifika usiku kibaharia umepita Tabata Mwananchi pale kwa J4 kuna pilau la buku unakula mpaka unahisi unamuibia.

Wewe unataka Ulaya ukale Pizza na American Burger.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo raha lunch ya buku pale Uhasibu kwenye mabanda unakula mpaka unafungua vifungo, ikifika usiku kibaharia umepita Tabata Mwananchi pale kwa J4 kuna pilau la buku unakula mpaka unahisi unamuibia.

Wewe unataka Ulaya ukale Pizza na American Burger.
Hahahaha
 
Faiza yupo Canada,diaspora yupo USA wengine Dubai ,wengine wanaishi kwenye yatch huko bahamas ,wengine South Africa,wengine wamezamia canada..
Halafu sasa ukija kwenye vyuo hamna aliesomea bongo(kasoro wale Wa Uzi Wa masihara) wengine wote wamesoma UK,Russia,states,India,Netherlands
Mpaka daah nahisi mimi tu sijatia.guu nje ya nchi au Jf kwenye playstore ya bongo haipatikani??
Huo ndio uwezo wako wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha
Wewe uko daslam eeehhh!! Huwezi pawaza Namtumbo kabisa
Naijua Ruvuma kuanzia nje mpka ndan...
Kuanzia Mletele, Namabengo, Namtumbo all the way to Tunduru

Ukija huku Bombambili Msamala mshangano Mitawa Mliayoyo all the way to Njombe

Haya sasa huku Peramiho kigonsera Likuyufusi Mbinga mpaka Nyasa wapi unafikri sipajui.
 
Naijua Ruvuma kuanzia nje mpka ndan...
Kuanzia Mletele, Namabengo, Namtumbo all the way to Tunduru

Ukija huku Bombambili Msamala mshangano Mitawa Mliayoyo all the way to Njombe

Haya sasa huku Peramiho kigonsera Likuyufusi Mbinga mpaka Nyasa wapi unafikri sipajui.
Tatizo sio kupajua, kupaishi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom