Hivi hiki ndicho Kiingereza cha Profesa Ndalichako?

Mungu ameamua kumuumbua makusudi huyu mama alijikweza Sana Sasa ameshushwa na hatathubutu kujimwambafai mbele ya wanafunzi wa English medium wanaokipiga kingenge vizuri // mama waziri umeumbukaaaaaaaaaaaaaa hujui kingerezaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Saa hii atakuw anauona huu uzi jinsi unavyompiga mawe, nadhani hata watoto wake wakiingia humu waone hizi comment watafedheheka sana.
 
Ni hivi yeye kaongea kingereza halafu amount akataja kiswahili. Mimi ndo nimeitafasiri kwenda kingereza.Prof alisahau kusema million 150 kwa kingereza ?


Bora yeye aliongea kwa kiswahili kuliko wewe madam uliyeandika kwa kiingereza, samahani lakini; inatakiwa iwe hivi; Tsh, one hundred fifty millions. Usiweke neno "and".🤣
 
Ebu tuambieni makosa mliyoyaona maana nashangaa mnasema kingereza cha prof tatizo mmeliona wapi matamshi, sentensi, maneno au wapi maana watu wanashadadia tu pasipo kusema kakosea wapi

Kumbukeni mama kingereza inaweza kuwa lugha yake ya tatu jifunza, ya kwanza kwa umri wake inaweza kuwa kiha, akaja kiswahili kisha akaja kingereza kwaiyo msitegemee mama akawa na matamshi mazuri kama mzungu

Kiukweli sijaona tatizo katika kingereza chake maana sentensi zake zinaeleweka, misamiati yake ina eleweka, sema tu sio mahiri yani hana ile floo ambayo wengi mlitaka muione

Kama hujui hiyo lugha hata ukiambiwa hayo makosa itakusaidia nini? Makosa lukuki!
 
Kuna ajabu gani hapo sasa? Wabongo kwakujishongondoa tu hatujambo, utasikia mtu anamsifia mzungu anaeboronga kiswahili huku akimcheka mbongo mwenzie abaeboronga kiingereza, amaa kweli utumwa bado tunao

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiswahili ni lugha ya wachovu, hata ukikosea watu hawawezi kukucheka, lakini kiingereza hasa hapa kwetu ni lugha ya kiwango cha juu.
 
Tena kasoma Canada with first class, Kuna shida mahala, ndo maana hazipendi English medium
Kiingereza kikisha kuwa affected na accent yako toka utotoni ndio inakuwa hivyo, na ma professor wengi iwe wa bongo au nchi zingine nao matamshi yao hayako sawa, hivyo kusomea canada ukubwani ni ngumu kubadilisha accent yake.
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muhindi wewe achamamboyako nchi yetu ndo inaumia ,nyi wezetu mnapakwenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora yeye aliongea kwa kiswahili kuliko wewe madam uliyeandika kwa kiingereza, samahani lakini; inatakiwa iwe hivi; Tsh, one hundred fifty millions. Usiweke neno "and".
Hilo neno "and" kwanini lisiwepo?
Kwa kutumia kanuni gani?
Btw zote zipo correct yenye "and" na isiyo na "and".
Ukibisha nipe muda wako turudi darasani.
 
Wakuu Kiingereza ni Uprofessor vina uhusiano gani?
Professor wa Mathematics na Fluent English kuna uhusiano gani?
Almost my whole university life nimefundishwa na Ma Prof. Wengi ambao ni wa mambo ya sayansi.. wote wanaongea kiingereza cha kawaida tu.

I see no problem there.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha hata hiki cha kuombea maji tu? Kama wewe ni mzee wa broken usipende kuchomekea chomekea maneno ya kiingereza. Sisi wote tunaongea broken ila tuwe makini kuropoka mbele za watu na media, tutachekesha walionuna!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo neno "and" kwanini lisiwepo?
Kwa kutumia kanuni gani?
Btw zote zipo correct yenye "and" na isiyo na "and".
Ukibisha nipe muda wako turudi darasani.


Ukiweka "and" hapo utakuwa unatafsiri ile "na" ya kiswahili kwenda kiingereza.

Unapoandika 150,000,000 in english, unaruhusiwa kuandika "and" kama hujui kiingereza.🤣
 
Back
Top Bottom