Siyo tu wageni bali hata Watanzania wenyewe wanatamka jina Tanzania kwa namna tofauti-tofauti. Je, Matamshi sahihi ya jina Tanzania ni yapi?
Je, ni TanzaNIa au ni TaNZAnia?
KIELELEZO: Kwenye 'NI' na 'NZA' kwenye jina Tanzania hapo juu ndipo ambapo mkazo (sauti ya juu) kimatamshi umekuwa...
Salaamu wanajamvi?
Neema zoote kwa Baba Mungu/Allah.
Rejea kichwa cha mada hapo juu kama kinavyojieleza.
Kwamba, mimi ni kijana wa Kitanzania nikiwa kwenye 20's kiumri. Ninatafuta kazi ya kuajiriwa kwa dhumuni la kutoa huduma za kifedha kwenye duka la uwakala wa benki na/au makampuni ya...
Moja kwa moja kwenye mada
Wakuu kuna mdogo wangu ameamka asubuhi akiwa amenyolewa nywele kichwani kasehemu kadogo kamviringo. Sifahamu aliyemnyoa na nafikiria kuwa amenyolewa kichawi...
Je, hii ina maana gani? Wataalamu naomba msaada.
Moja kwa moja kwenye topiki...
Ninafikiria kujiunga na kusoma Law School of Tanzania. Hata hivyo nilikuwa na uhaba kidogo kifedha hivyo ninafikiria kuomba mkopo kutoka Bodi ya Mikopo. Je, Bodi ya Mikopo wanatoa mikopo na kwa wanafunzi wa Law School of Tanzania?
Haloo wanajamvi,..
Mimi ninahitaji kujiunga na kusoma Law School of Tanzania. Hata hivyo nina changamoto ya kifedha kidogo hivyo nilikuwa nafikiria kuomba mkopo Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu; hivyo nilikuwa nina swali kwamba je, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu wanatoa pia mikopo...
Wakuu salama..
Naomba msaada: ninahitaji kwa anayejua utaratibu wa kubadilisha jina la biashara aweze kunisaidia maana nahitaji kubadili sha jina la biashara yangu.
Na je, ipi ni rahisi au bora kati ya kubadilisha jina au kufuta biashara na kufungua upya kwa jina tofauti?
Wasalaam wanajamvi...
Moja kwa moja kwenye topic.
Ni kwamba nahitaji friji. Friji hii iwe ya makampuni ya vinywaji mfano PEPSI, COCACOLA...
Sasa basi ningependa kuuliza je, upatikanaji wake ukoje, yaani nawezaje kuzipata? Je, gharama zake zikoje? Je, gharama zinafanana kwa makampuni yote...
Ni kwamba askari anapokuwa anatawanya mikusanyiko haramu hafungwi, kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 - (Penal Code [Cap. 16 R.E. 2002]), kwa kuua.
Kifungu cha 78 cha sheria hiyo kinaweka bayana.
Ni kwamba katika enzi za ukoloni suala la kuwaona watu wenye asili ya Afrika wakiwa wamembeba Mwarabu, au Mzungu lilikuwa ni suala lisilohaba hasa maeneo ya pwani. Vitendo hivyo vilifanywa hasa na watu wenye wadhifa wa Mwinyi(na waliitwa Mamwinyi), wakiwalazimisha manyampara, manamba na/au...
Wanajamvi
Mimi nipo hapa kuna mwanamke ninampango wa kumuoa. Sasa ninataka kutoa posa na bahati mbaya sijawahi kuposa wala kuona mtu akipeleka barua ya posa.
Naomba kuuliza je,
1.Ni nani hasa anatakiwa apaleke nlvarua ya posa? Muoaji au ndugu zake?
2. Je, kwenye barua ya posa unasema nini...
Hali zenu wakuu?
Basi naenda moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu.
Ni kwamba mimi nahitaji kununua Friji kwa ajili ya kupozea vinywaji laini dukani. Nahitaji msaada kutoka kwenu wakuu kuhusu je;
1. Ni aina (kampuni) gani ya Friji ni nzuri na imara?
2. Gharama pia ni Tshs. ngapi? Mimi nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.