Kumbe Polisi akiua hanyongwi, wala hafungwi maisha, wala haadhibiwi kwa namna yoyote ile

McCarthy

JF-Expert Member
Aug 24, 2017
506
552
Ni kwamba askari anapokuwa anatawanya mikusanyiko haramu hafungwi, kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 - (Penal Code [Cap. 16 R.E. 2002]), kwa kuua.

Kifungu cha 78 cha sheria hiyo kinaweka bayana.

IMG_20180223_100421.jpg
IMG_20180223_100459.jpg
 
Modes mwaweza rekebisha kichwa cha thread kiwe "hanyongwi, wala hafungwi maisha, wala haadhibiwi kwa namna yoyote ile"
 
Duuuu hizi sheria bhana kwa hyo kifungu cha 75 hao jamaa 40 mwaka mmoja jera?
Hata kama hatuhkumiwa mhusika ila ikumbukwe Damu nzito kulko maji
Nmeikumbuka kauli ya bukoba Mwafaaaaaaaaa.....
 
Ulishaambiwa ile risasi (japo zilikuwa nyingi zilizopigwa) ilipigwa hewani ili kutawanya watu. Kwa ''bahati mbaya'', ile risasi ikashuka chini na kabla haijatua chini, ikapiga corner in a horizontal direction. Then ikamtwanga yule dada kichwani na pia ikapitia sikio la kondakta. Bongo raha sana.
 
Ulishaambiwa ile risasi (japo zilikuwa nyingi zilizopigwa) ilipigwa hewani ili kutawanya watu. Kwa ''bahati mbaya'', ile risasi ikashuka chini na kabla haijatua chini, ikapiga corner in a horizontal direction. Then ikamtwanga yule dada kichwani na pia ikapitia sikio la kondakta. Bongo raha sana.
Ha haa
 
kabla ya kupost huu UZI wako ungeenda jela kumtembelea askari aliyemuua mwandishi wa habari mwangosi..... nahisi usingepost huu uzi wako
 
kabla ya kupost huu UZI wako ungeenda jela kumtembelea askari aliyemuua mwandishi wa habari mwangosi..... nahisi usingepost huu upuuzi wako
Ishu inakuja kwenye kuthibitisha bila kuacha shaka yoyote yenye maana (beyond any reasonable doubt) kama mkusanyiko ulikuwa haramu au la. Ndo hapo polisi wakishindwa kuithibitishia mahakama uharamu wa kusanyiko ndo polisi aweza kuadhibiwa kwa kuuwa nje ya matakwa ya kifungu hiki.

Kutofungwa kwa askari kunategemea na kama aliua akiwa ndani ya matakwa ya kifungu hiki?

Hivyo ataadhibiwa kama muuaji mwingine kwenye hali zingine tofauti na masharti ya kifungu hiki.
 
Tunapo elekea, soon tutaanza kuchapana ile man to man
Labda kwenye JF lakini siyo mitaani!! Pako patulivu sana mitaani watu wanaendelea kuchapa kazi tu wewe endelea na comments mfu ikija jitambua tuko mbaliii...!!
 
Ishu inakuja kwenye kuthibitisha bila kuacha shaka yoyote yenye maana (beyond any reasonable doubt) kama mkusanyiko ulikuwa haramu au la. Ndo hapo polisi wakishindwa kuithibitishia mahakama uharamu wa kusanyiko ndo polisi aweza kuadhibiwa kwa kuuwa nje ya matakwa ya kifungu hiki.

Kutofungwa kwa askari kunategemea na kama aliua akiwa ndani ya matakwa ya kifungu hiki?

Hivyo ataadhibiwa kama muuaji mwingine kwenye hali zingine tofauti na masharti ya kifungu hiki.

hapa nimekuelewa mkuu

ila kwa hali ya kawaida serikali yetu lazima itamtoa kafara polisi aliyepiga ile risasa
ili kupunguza hasira za wananchi
 
Back
Top Bottom