Wilaya ya IlalaAsante ...ila ningependa kufahamu ni kata gani au wilaya gani hiyo?
HahahhaahaaaaaaHaya uzi ufungwe sasa umepafamu tayari
utatujazia saver bure
Maana kwa kweli kwa maelezo haya lazima apate kizungu zunguMtambani ipo sehemu nyingi sana Dar hivyo ni lazima ujue unataka kwenda mtambani ya wapi
Usije ukawa unamaanisha Msikiti wa Kichangani pale Traffic Light MagomeniKuna msikiti wa mtambani ulioko pale kwenye mataa magomeni mapipa. Na ilala nadhani sharifu shamba kuna mtambaani.
Maana kwa kweli kwa maelezo haya lazima apate kizungu zungu