McCarthy
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 506
- 552
Moja kwa moja kwenye topiki...
Ninafikiria kujiunga na kusoma Law School of Tanzania. Hata hivyo nilikuwa na uhaba kidogo kifedha hivyo ninafikiria kuomba mkopo kutoka Bodi ya Mikopo. Je, Bodi ya Mikopo wanatoa mikopo na kwa wanafunzi wa Law School of Tanzania?
Ninafikiria kujiunga na kusoma Law School of Tanzania. Hata hivyo nilikuwa na uhaba kidogo kifedha hivyo ninafikiria kuomba mkopo kutoka Bodi ya Mikopo. Je, Bodi ya Mikopo wanatoa mikopo na kwa wanafunzi wa Law School of Tanzania?