Habari za weekend jamani
Tukiwa tumejisogeza maeneo tukiendelea kupata TRAB ya baridii na TRAT ya kuchoma.
Naombeni tujikumbushe katika kikao chetu cha mwisho kipegele cha kuhonga pesa ya kusukia tulikubaliana Tsh ngapi?
Tukumbushane jamani maana wengine madoja.
Shukran.....
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza ni muhitimu wa kozi ya Clinical Officer (CO) katika chuo flani hapa dar es salam.
Natafuta kazi nina uzoefu wa kazi napatikana Dar es Salam.
Nipo tayari kufanya kazi popote pale.
Kwa yoyote anaye weza kunipatia kibarua au kunionganisha tuwasiliane...
Sina haja ya kuwapa pole wahitimu walio maliza elimu ya ngazi ya juu (chuo) zaidi ya kuwapongeza na kuwatakia mafanikio zaidi kwenye maisha.
Ni vema wahitimu mkafahamu kua kumaliza chuo ni mwanzo wa safari nyingine ya mwendelezo wa kuya saka mafanikio.kuna maisha baada ya kuhitimu elimu (chuo)...
Habali zenu
Naomben ushauri jamani niko njia panda. Nifanye nini katika hili. Nipo katika mahusiano ni Taktiban miez 2 ila shida iko sehemu moja huyu bidada nilienaye ana wivu yes wivu haswaa uliopitiliza asione sim imepigwa atataka ajue, asione naongea na jinsia tofauti ndo kabisa ni mwendo wa...
Habali zenu humu ndani,
Zikiwa zimebaki siku 8 kufanyika kwa uchaguzi mkuu hivi ndivo nimejipanga kukabiliana na swala zima la uchaguzi.
Wewe umejipanga vipi?
Habar za weekend zangu JF
Kwa jinsi maisha yanavyokwenda kasi zaid ya ile ya mwanga haya ni baadhi ya mambo ambayo hutakiwi kupitia na kama umepitia basi hakikisha hurudii.
1. Matumizi mabaya ya pesa
2. Kusoma ndio maisha
3. Kukata tamaa bila kujaribu
4. Kukubali kila unachosikia/ambiwa
5...
Habari polen na mihangaiko ya kutafuta rizik .
Niende moja kwa moja katika mada kuu .
Wewe mrembo wa JF .popote ulipo nakuachia Laana za kula nauli na kusema uongo ,ukaona umenikomoa umesahau ushatumiwa nauli na yakutolea na tukapanga kuonana afu unaleta bla bla zako
12:00 Nakuja
13:45 Ndio...
Habar zenu poleni na majukumu
Niende kwenye mada, takriban mwezi na sehemu umesha kata huyu binti nilimpiga kibuti cha kimya kimya baada ya mizinga kushamiri ndipo nilipoona kuutua huu mzigo wa katani .
Kiukweli sikuwahi ku benefits kwake zaid ya papuchi tu na ukizingatia anajishugulisha na...
Habari za wakati huu, poleni na majukumu ya kutafuta mkate.
Nisipoteze muda sana katika hiki kipenge kinawahusu kina dada huu ni waraka kwenu
Mara ya sita sasa hii nimekutana na wadada sehemu tofauti tofauti katika harakati za ku seti mtongozo imekua ni tabia sasa tena imekita mizizi. Kiukweli...
Habari za muda huu wapendwa JF members
Naomba niweke mezani mada hii kama kichwa kinavyo msema.
Ni kawaida yangu siku zote katika mahusiano kitendo cha kuvunjika kwa mahusiano na mwanamke type yoyote, kwa mtindo wowote huwa sina utaratibu wa kuendelea na mawasiliano ya namna yoyote ikiwa...
Habari za wakati huu ndugu wanaJF.
Poleni sana na haya mapambano dhidi ya huu ugongwa, tuendelee kuchua tahadhari kama tulivyo elekezwa na watalamu wa afya.
Naimani wengi wetu ni wazima ni jambo la kumshukuru muumba, pia kwa wale walio na maradhi Mungu awape Afya na wazidi kuimarika.
Nirudi...
Leo tuzungumzie matumizi sahihi ya barakoa (face mask) maana Maradhi ya Corona (COVID19) yamekuja na mambo yake. Ingawa kwa wenzetu wa bara Asia hii desturi ya kuvaa barakoa ni ya kawaida kabisa katika maisha yao ya kila siku kwetu sisi huku haya ni “mashkolo mageni” kweli kweli. Sasa nataka...
Habari za juma pili.
Niende kwenye mada. Inshort ni mwanamke tulie achana miaka 5 nyuma ikiwa mimi ndio chanzo.
Tumejikuta tunaingia tena katika kulingana na kila moja bado kua na feeling na mwenzake
Lakini kuna unjumbe ambao nimepokea leo asibuh kutoka kwake nimebaki mdomo wazi sijui nijibu...
Habali zenu wana jamvi
Leo nimeamini kwamba vyuma vipo tyt sio tu kwa binadamu mpka wanyama na wadudu.nimepatwa na ghadhabu ju ya huyu mdudu panya kitendo alichonifanya kula speaker ya hometheater hakika sita muacha hai siku akingia kwenye kumi na nane zangu.
Msaada kwa anayejua headquater za...
Wasalam..
kama head inavo jieleza maalum kwa perfume ,fragrance,body sprays na manukato aina zote kwa kuanza kabisa naweka hizi chache kama kuna zingine sizijui tujuzane
#victorious silver (men)
#I Am VIP(men)
#Brillant(wom)
#Safari(men)
#Di rose signature(wom)
#Dancer black(men)
#Ally sport...
Habari,
Kumekuwa na nadharia mbali mbali zinazo zungumzwa kuhusu suala zima la nyeto.
Binafsi ningependa kutoa mtazamo wangu kuhusiana na hili suala
Kila mwanaume rijali hata kama anademu wake lazima apige punyeto mara moja au mbili kwa siku hiyo ni human nature nikama madem wanavo ingia...
habli wana jf
(Reuters) - Africa's youngest billionaire, snatched a week ago off the street outside a luxury hotel in Tanzania, has returned back home safely, the family company that he runs said on Saturday.
Mohammed Dewji, 43-year-old CEO of the METL Group family conglomerate, was seized...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.