Machmadem
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 758
- 933
Habari polen na mihangaiko ya kutafuta rizik .
Niende moja kwa moja katika mada kuu .
Wewe mrembo wa JF .popote ulipo nakuachia Laana za kula nauli na kusema uongo ,ukaona umenikomoa umesahau ushatumiwa nauli na yakutolea na tukapanga kuonana afu unaleta bla bla zako
12:00 Nakuja
13:45 Ndio Naoga
15:20 Navaa Nguo
17:35 Ndio Natoka
18:15 Nipo Kwenye Bajaji
19:20 Babe Sitakuja Mama Ameniambia Niwapikie Wageni Wanakuja.
Halafu Ukifika Miaka 35 Hujaolewa Unaanza Kuwasumbua Akina Mwakasege , Gwajima , Mwamposa Na Lusekelo
Niende moja kwa moja katika mada kuu .
Wewe mrembo wa JF .popote ulipo nakuachia Laana za kula nauli na kusema uongo ,ukaona umenikomoa umesahau ushatumiwa nauli na yakutolea na tukapanga kuonana afu unaleta bla bla zako
12:00 Nakuja
13:45 Ndio Naoga
15:20 Navaa Nguo
17:35 Ndio Natoka
18:15 Nipo Kwenye Bajaji
19:20 Babe Sitakuja Mama Ameniambia Niwapikie Wageni Wanakuja.
Halafu Ukifika Miaka 35 Hujaolewa Unaanza Kuwasumbua Akina Mwakasege , Gwajima , Mwamposa Na Lusekelo