Naomba ushauri juu ya mkopo ninaotaka kuchukua

Machmadem

JF-Expert Member
Jul 9, 2017
758
933
Habari za wakati huu ndugu wanaJF.

Poleni sana na haya mapambano dhidi ya huu ugongwa, tuendelee kuchua tahadhari kama tulivyo elekezwa na watalamu wa afya.

Naimani wengi wetu ni wazima ni jambo la kumshukuru muumba, pia kwa wale walio na maradhi Mungu awape Afya na wazidi kuimarika.

Nirudi katika mada yangu mimi ni kijana wa miaka 31 ni mwajiriwa lakini pia ni mfanyabiashara japo siyo kubwa sana lakini nashuru kwa hapa nilipofikia .

Baada ya kukaa chini na kutafari kwa kipindi kirefu juu ya mustakabali wa mambo yangu nikaona kuna haja ya kuvuta mkopo wa shiling million 10 kwaaajili ya kujiimarisha kiuchumi.

Mwisho Naombeni ushauri juu ya benk nzuri ambayo hakuna ubabaishaji wakati wa marejesho kwani tumeona watu wengi humu wakiwa wanalia hasa katika mambo ya mikopo nami nisinge penda initokee hivyo.

Karibuni
 
Bank haijawai kuwa wababaishaji kwenye marejesho, wababashaji ni wakopaji wenyewe kwaiyo kama unajiamini kuweza kurejesha kama wanavyoitaji bank kachukue mkopo lakini subiri huu ugonjwa upite
 
Bank haijawai kuwa wababaishaji kwenye marejesho, wababashaji ni wakopaji wenyewe kwaiyo kama unajiamini kuweza kurejesha kama wanavyoitaji bank kachukue mkopo lakini subiri huu ugonjwa upite
Lakini mkuu kuna bwana moja humu alishawahi kulepa uzi alkidai alimaliza marejesho lkni bado hyo bank hawako na detail kuhusu marejesho yako pamoja na usumbufu kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bank zote hazina usumbufu lakini baadhi wanatabia ya kudabo riba yaani unakuta liba inasoma laki saba huko wakati wanakuambia ni 30%
 
Lakni mkuu kuna bwana moja humu alishawahi kulepa uzi alkidai alimaliza marejesho lkni bado hyo bank hawako na detail kuhusu marejesho yako pamoja na usumbufu kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
iyo kesi zinatokea bank yoyote ila inakuwa kwa bahati mbaya kutokana na watendaji wanaokuudumia wanakuibia pesa unazorejesha,nini chchakufanya sasa?

Ukishakopa mkopo wako bank yoyote ile iamini unapoanza kurejesha mkopo wako kila mwezi wa marejesho wadai waambie wakupe statement ya kila mwezi ujue umelipa kiasi gani na kimebakia kiasi ili ujionee mwenendo wadeni lako jinsi unavyolipa na unachodaiwa.
 
Kama unataka kukopa, zingatia yafuatayo:

1. Mkopo wako unapaswa kujilipa.

2. Usikope Mkopo wa muda mrefu.

3. Pesa ya mkopo iingize directly kwenye biashara inayoendelea bila kukwepa kwepa wala kuitafutia matumizi mapya.

4. Kumbuka bank zote Riba zake ni ndogo kama kweli una discipline na unajua unachokifanya.
 
Kama unataka kukopa, zingatia yafuatayo:

1. Mkopo wako unapaswa kujilipa.

2. Usikope Mkopo wa muda mrefu.

3. Pesa ya mkopo iingize directly kwenye biashara inayoendelea bila kukwepa kwepa wala kuitafutia matumizi mapya.

4. Kumbuka bank zote Riba zake ni ndogo kama kweli una discipline na unajua unachokifanya.
Asante sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu ndugu wanaJF.

Poleni sana na haya mapambano dhidi ya huu ugongwa, tuendelee kuchua tahadhari kama tulivyo elekezwa na watalamu wa afya.

Naimani wengi wetu ni wazima ni jambo la kumshukuru muumba, pia kwa wale walio na maradhi Mungu awape Afya na wazidi kuimarika.

Nirudi katika mada yangu mimi ni kijana wa miaka 31 ni mwajiriwa lakini pia ni mfanyabiashara japo siyo kubwa sana lakini nashuru kwa hapa nilipofikia .

Baada ya kukaa chini na kutafari kwa kipindi kirefu juu ya mustakabali wa mambo yangu nikaona kuna haja ya kuvuta mkopo wa shiling million 10 kwaaajili ya kujiimarisha kiuchumi.

Mwisho Naombeni ushauri juu ya benk nzuri ambayo hakuna ubabaishaji wakati wa marejesho kwani tumeona watu wengi humu wakiwa wanalia hasa katika mambo ya mikopo nami nisinge penda initokee hivyo.

Karibuni
Kopa bank zinazojulikana ndugu achana na wale wa bayport au imarisha/imarika (sina hakika wanaitwaje hawa)
 
Mie nimesomea biashara naomba nikushauri hivi kuhusu kukopa:

Kama unakopa usipeleke hiyo hela kwenye biashara mpya ambayo huijui wala ambayo hauna uzoefu nao. Siku zote kopa kwenye biashara ambayo unaijua A to Z na kufahamu soko lako, wateja wako, gap lililopo na ili kufika juu unatakiwa uwe na kiasi gani juu ya mtaji ulionao.

Kuna kipindi unaweza kuwaza kukopea biashara yako wakati kumbe kwa wakati ule biashara yako wala haihitaji mkopo. Soma game pia jua nini au kiasi gani unakihitaji kwenye hiyo biashara ndio ukope hapo tena baada ya kuchanganua vizuri kuhusu rejesho versus faida unayotegemea kupata
 
Mie nimesomea biashara naomba nikushauri hivi kuhusu kukopa:

Kama unakopa usipeleke hiyo hela kwenye biashara mpya ambayo huijui wala ambayo hauna uzoefu nao. Siku zote kopa kwenye biashara ambayo unaijua A to Z na kufahamu soko lako, wateja wako, gap lililopo na ili kufika juu unatakiwa uwe na kiasi gani juu ya mtaji ulionao.

Kuna kipindi unaweza kuwaza kukopea biashara yako wakati kumbe kwa wakati ule biashara yako wala haihitaji mkopo. Soma game pia jua nini au kiasi gani unakihitaji kwenye hiyo biashara ndio ukope hapo tena baada ya kuchanganua vizuri kuhusu rejesho versus faida unayotegemea kupata
Naongezea kuwa ingependeza uache kipindi hiki cha COVID - 19 kipite ndio uje kukopa maana hatujui kesho itakuwaje watu wengi wanafunga biashara zao na pia inaweza kutokea anguko la uchumi wa dunia ambapo huku hatutabaki salama kiuchumi na nguvu ya kununua ya watu wengi itashuka
 
Bank haijawai kuwa wababaishaji kwenye marejesho, wababashaji ni wakopaji wenyewe kwaiyo kama unajiamini kuweza kurejesha kama wanavyoitaji bank kachukue mkopo lakini subiri huu ugonjwa upite
Benki zet ni wababaishaji kwenye riba za mikopo. Wakishuka angalau wakafika hata 11% kutoka 17% ya sasa naamini watu na makampuni watakopa zaidi. Namba hazidanganyi
 
Habari za wakati huu ndugu wanaJF.

Poleni sana na haya mapambano dhidi ya huu ugongwa, tuendelee kuchua tahadhari kama tulivyo elekezwa na watalamu wa afya.

Naimani wengi wetu ni wazima ni jambo la kumshukuru muumba, pia kwa wale walio na maradhi Mungu awape Afya na wazidi kuimarika.

Nirudi katika mada yangu mimi ni kijana wa miaka 31 ni mwajiriwa lakini pia ni mfanyabiashara japo siyo kubwa sana lakini nashuru kwa hapa nilipofikia .

Baada ya kukaa chini na kutafari kwa kipindi kirefu juu ya mustakabali wa mambo yangu nikaona kuna haja ya kuvuta mkopo wa shiling million 10 kwaaajili ya kujiimarisha kiuchumi.

Mwisho Naombeni ushauri juu ya benk nzuri ambayo hakuna ubabaishaji wakati wa marejesho kwani tumeona watu wengi humu wakiwa wanalia hasa katika mambo ya mikopo nami nisinge penda initokee hivyo.

Karibuni

Safi kwa kujiongeza. Japo kuwa hujafafanua vyema kuwa huo mkopo unautumia vipi?

Kuendeleza hiyo biashara uliyokuwa nayo au kuanzisha biashara mpya. Ni muhimu kupata haya maelezo ili ushauriwe vyema. Unaweza ku edit post yako isomeke vyema.

Hata hivyo, suali lako la msingi ni kuhusu ubabaishaji wakati wa marejesho. Kwa sasa hakuna hayo mambo as long as umesema wewe ni muajiriwa. Njia rahisi ni kukopa kutumia bank inayotumika kupitishia mshahara wako kama umekusudia makato yatoke Kwenye mshahara. Be more specific kwenye post yako usomeke vyema as in je unakopa kupitia mshahara au utatumia udhamini binafsi kama kiwanja au gari.

Binafsi sioni kama kuna changamoto yoyote katika marejesho hasa kwa pesa kama hiyo.

Nilikopa kwa kutumia CRDB, japo walikuwa na riba kubwa kidogo but hakukuwa na shida yoyote na deni lao nililifuta within 2 years. Nilikopa pia kwa Biashara.


Mk54
 
Back
Top Bottom