Usiongee usilolijua... and of course source ya taarifa zako ni mitandao Kwahyo ww ni mdaku tu na shabiki.
Dai ni jina ndo linalotumika kubrand na kupromote vya watu, hana chake na bila salalamu sk dogo bado choko tu
Perfume ni ya Kusaga, Karanga ni za Muhindi, Nyumban south ni za Zari...
Umeandika utadhani unamjuaaaa kumbe umeokoteleza vihabari hahaha
Kifafa cha Wayne ni tangu ndogo, na juzi hakuanguka jukwaa alikutwa hana fahamu hotelini.
Shenztype
Je, ni kutaka kuonekana kwamba wanaujua mziki tangu 80's au wanadhani wateja ndo tunazopenda?
Nyimbo mpya ni nyingi sana hata ukizipiga masaa 24 haziishi...
Nipo hapa Maisha Club makumbusho, jamaa anapiga old schools tu mwanzo mwisho yaani hadi elfu 10 yangu ya mlangoni inaniuma.
HIVI MNAPOSEMA "DUNIANI NA AFRICA" ILI HALI KUNA MWANADADA TAYLER SWIFT AMBAYE ANA KICHUPA CHA "LOOK WHA YOU MADE ME DO" CHENYE VIEWS MILIONI 120+ TUWAELEWEJE? acheni kufabricate news.
Wa kwanza mimi.... MUNGU ni wewe na sio Yesu au dogo Muhamedi. Dini ni industry km ulivyo PR, Muziki au Uwakili na ina maadili yake ndio maana Mchungaji au Askofu hufanywa mfano akizini japo in private life yeye ndo mla waumini. Wacha niishie hapa ili angalau nifike 2020 nione mtanange.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.