Mkuu wa Mkoa kuwa na nguvu kuliko mawaziri ni tishio kwa usalama

Uongozi ni kuonesha njia.
Makonda kwa ubora wake amewezesha kujenga wodi za kisasa za wazazi na vifaa vyake kwenye manispaa zote za Dar es salaam.

Makonda alikaa na wataalamu wake wa elimu wa mkoa wa DSM,wakati huo mlikua mnabeza kuwajibisha maofisa elimu,moja ya changamoto ilikua waalimu hawana ofisi za kutayarisha vipindi na kusahihisha mitihani,waalimu wanafanya kazi chini ya miembe.
Makonda kwa upeo wake,akahamasisha kamati ya ulinzi na usalama mkoani kwake impe wataalam,JKT na polisi wakatoa wataalam,Magereza wakatoa wafungwa kama nguvu kazi-hapo utaona 50% za gharama zimekatawa.

Dar es salaam ni jiji la kibiashara,makampuni makubwa huwa yanatenga kiasi fulani kwa ajili ya social responsibility,Makonda kwa maarifa yake akayata hayo makampuni yatoe cement na na mabati,hapo utaona 90% ya mradi umeshawezeshwa.

Wakati mwingine kuongoza Dar es salaam hakuihitaji maguvu meengi tumpe hongera na kumuunga mkono Makonda ili watoto wetu wapate elimu bora,badala ya kusubiri kila kitu tufanyiwe na serikali

Watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara wala kupandishwa Madaraja mwaka wa pili sasa hata ukijenga wodi nzuri kiasi gani hazitasaidi.

Mmeanzisha elimu bure bila maandalizi matokeo yake unampa mwalimu mkuu laki mbili huku wengine ukiwaacha solemba mnadhani mikwara itawasaidia kuinua elimu au afya? Juzi wikimoja kabla ya mey mosi raisi aliwaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi ikulu kwenda kuwaweka sawa! Wapo waliopewa pesa, nyumba, magari na kusomeshewa watto wao nje ili wawasaliti watumishi ambao ndio waliowachagua huyo Bashite hata ukijenga ofisi zitasaidia nn?

Watumishi wamefukuzwa kazi kwa vyeti feki huku makonda akilindwa wewe bado unamsifia ama kwa kutumwa au kujikomba kwake!

Watumishi wengine wamesingiziwa kuwa wanavyeti fake lakini ati wanarudishwa kwa awamu kwenye payroll mbona hawakutolewa kwa awamu.

We endelea kumsifia bashite lakini ukweli unajua kuwa mambo hayaendi na raisi amejawa na kibur, visasi, udini, ukanda na kila aina ya upendeleo
 
Watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara wala kupandishwa Madaraja mwaka wa pili sasa hata ukijenga wodi nzuri kiasi gani hazitasaidi. Mmeanzisha elimu bure bila maandalizi matokeo yake unampa mwalimu mkuu laki mbili huku wengine ukiwaacha solemba mnadhani mikwara itawasaidia kuinua elimu au afya? Juzi wikimoja kabla ya mey mosi raisi aliwaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi ikulu kwenda kuwaweka sawa! Wapo waliopewa pesa, nyumba, magari na kusomeshewa watto wao nje ili wawasaliti watumishi ambao ndio waliowachagua huyo Bashite hata ukijenga ofisi zitasaidia nn?
Watumishi wamefukuzwa kazi kwa vyeti feki huku makonda akilindwa wewe bado unamsifia ama kwa kutumwa au kujikomba kwake!
Watumishi wengine wamesingiziwa kuwa wanavyeti fake lakini ati wanarudishwa kwa awamu kwenye payroll mbona hawakutolewa kwa awamu.
We endelea kumsifia bashite lakini ukweli unajua kuwa mambo hayaendi na raisi amejawa na kibur, visasi, udini, ukanda na kila aina ya upendeleo
WORD WORD WORD
 
Nikweli mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais lakini ni mdogo kuliko mawaziri na viongozi wengine wa kitaifa. Kile anakifanya Rais wetu mpendwa chini ya mkuu wa mkoa fulani kiuhalisia sio sawa na hata sheria hazi support aina ya uongozi anautaka.

Ukiwa kiongozi wa taasisi kubwa kama Rais nilazima tukumbuke kuna jambo Moja linatuongoza yani sheria na katiba. Nijambo lisilo kificho kuwa rais akiwa na dharula mtu wa kwanza kuongea naye ni waziri mkuu au makamo wa Rais wakuu wa majesh na waziri.

Yapo mambo yanashituwa na yanaleta mashaka makubwa hasa pale inaapokuja way rais ana communicate. Atangaze kama mkuu wa mkoa ndie msemaji wa serikali ama ndio next to him otherwise ikulu kwa kujua ama kutojua inachimba shimo kubwa sana ambalo mwisho wa siku litawafukia wote nakuleta madhara ktk chein ya uongozi.

Kile anakifanya mh Rais wala sio kigeni ila kili wahi tokea kipindi cha Mh Kikwete ambapo Mh Lowasa alikuwa kitisho kikubwa kwa wenzake na hata wakati mwingine akibadilisha maamuz na kufanya vile anafanya. Na sote twajuwa nini kilitokea kwa Lowasa.

Tukio la ujenz ofis za walim mkoa wa Dar nimoja ya tukio limeficha udhaifu wa kiutendaji na vile Rais anatumika vibaya. Sitaki sema lolote ila mm nakaa pembeni nasubiri muone nini kitatokea na tusijifiche serikali ina budget sasa kile.

Wamepanga pasipo budget kitafika wapi na tuseme kweli je huu mpango ni dira ya serikali ama umeibukia wapi?

Mh Rais, ofisi yako ni kubwa sana ukitumiwa na wanafiki wachache kwa kujifanya wazalendo basi usije kimbia kiumbe ulichokiumba kwa midomo yako na kukisifia sana. Kama kweli unataka kuwa na serikali yenye sura ya kiumoja wa kitaifa wafanye wote wakuone ni Baba yao na utafurahi.
kwa akili yako unadhani hakuna mkuu wa mkoa ambae ni usalama??? Haha
 
kwa akili yako unadhani hakuna mkuu wa mkoa ambae ni usalama??? Haha
Hivi "usalama" huwa mnaona ni zoazoa tu? kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa, haina maana kuwa unakuwa mtu wa "usalama" kama unavyojaribu kuonyesha, badala yake anaweza kuwa "ajenti" tu kama walivyo "maajenti" wengine!
 
Makonda anawatesa sana UKAWA. Sioni logic kwenye thread ya huyu jamaa. Anayofanya makonda yako ndan ya eneo lake.Hivi makonda anaathiri vipi shughul za mikoa mingine?

Tatizo chadema na wafuasi wao wanaamn anayofanya makonda ni ya Tanzania nzima. Wanaamn makonda ni mkuu wa mikoa yote ndo maana kila afanyalo lazima ligeuzwe agenda ya kitaifa. Saiz anaangaika kujenga office za waalimu Dar lkn unakuta mtu wa tabora anatoka povu.

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
wewe unataka mtu wa Tabola asitokwe povu kuhusu ayafanyayo Makonda?naona umelewa harufu ya mavi.
 
Nimejaribu kujifanya mwewe, nikaruka juu sana na kuitizama TZ Inapokwenda.
Ukiwa juu sana na kutizama tunakokwenda, hakika huwezi kupingana na juhudi zinazofanywa na mkuu wa mkoa na pia juhudi zinazofanya na mkuu wa nchi katika kuiletea maendeleo nchi yetu. We need this kind of leaders for the change to happen. Currently our mindset is at the center of change.
Jambo la kushangaza ukitua chini na kujichanganya huku mtaani basi unajikuta unafata mkumbo na kupinga kila jambo.
Mimi naamini juhudi za mkuu wa mkoa ni nzuri isipokuwa kuna dosari chache sana kama suala la cloudtv etc. hazipaswi kujirudia.
As a leader, one should learn from the mistakes and adjust quickly.

Samsung Galaxy S8+
 
Nikweli mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais lakini ni mdogo kuliko mawaziri na viongozi wengine wa kitaifa. Kile anakifanya Rais wetu mpendwa chini ya mkuu wa mkoa fulani kiuhalisia sio sawa na hata sheria hazi support aina ya uongozi anautaka.

Ukiwa kiongozi wa taasisi kubwa kama Rais nilazima tukumbuke kuna jambo Moja linatuongoza yani sheria na katiba. Nijambo lisilo kificho kuwa rais akiwa na dharula mtu wa kwanza kuongea naye ni waziri mkuu au makamo wa Rais wakuu wa majesh na waziri.

Yapo mambo yanashituwa na yanaleta mashaka makubwa hasa pale inaapokuja way rais ana communicate. Atangaze kama mkuu wa mkoa ndie msemaji wa serikali ama ndio next to him otherwise ikulu kwa kujua ama kutojua inachimba shimo kubwa sana ambalo mwisho wa siku litawafukia wote nakuleta madhara ktk chein ya uongozi.

Kile anakifanya mh Rais wala sio kigeni ila kili wahi tokea kipindi cha Mh Kikwete ambapo Mh Lowasa alikuwa kitisho kikubwa kwa wenzake na hata wakati mwingine akibadilisha maamuz na kufanya vile anafanya. Na sote twajuwa nini kilitokea kwa Lowasa.

Tukio la ujenz ofis za walim mkoa wa Dar nimoja ya tukio limeficha udhaifu wa kiutendaji na vile Rais anatumika vibaya. Sitaki sema lolote ila mm nakaa pembeni nasubiri muone nini kitatokea na tusijifiche serikali ina budget sasa kile.

Wamepanga pasipo budget kitafika wapi na tuseme kweli je huu mpango ni dira ya serikali ama umeibukia wapi?

Mh Rais, ofisi yako ni kubwa sana ukitumiwa na wanafiki wachache kwa kujifanya wazalendo basi usije kimbia kiumbe ulichokiumba kwa midomo yako na kukisifia sana. Kama kweli unataka kuwa na serikali yenye sura ya kiumoja wa kitaifa wafanye wote wakuone ni Baba yao na utafurahi.
Nikweli mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais lakini ni mdogo kuliko mawaziri na viongozi wengine wa kitaifa. Kile anakifanya Rais wetu mpendwa chini ya mkuu wa mkoa fulani kiuhalisia sio sawa na hata sheria hazi support aina ya uongozi anautaka.

Ukiwa kiongozi wa taasisi kubwa kama Rais nilazima tukumbuke kuna jambo Moja linatuongoza yani sheria na katiba. Nijambo lisilo kificho kuwa rais akiwa na dharula mtu wa kwanza kuongea naye ni waziri mkuu au makamo wa Rais wakuu wa majesh na waziri.

Yapo mambo yanashituwa na yanaleta mashaka makubwa hasa pale inaapokuja way rais ana communicate. Atangaze kama mkuu wa mkoa ndie msemaji wa serikali ama ndio next to him otherwise ikulu kwa kujua ama kutojua inachimba shimo kubwa sana ambalo mwisho wa siku litawafukia wote nakuleta madhara ktk chein ya uongozi.

Kile anakifanya mh Rais wala sio kigeni ila kili wahi tokea kipindi cha Mh Kikwete ambapo Mh Lowasa alikuwa kitisho kikubwa kwa wenzake na hata wakati mwingine akibadilisha maamuz na kufanya vile anafanya. Na sote twajuwa nini kilitokea kwa Lowasa.

Tukio la ujenz ofis za walim mkoa wa Dar nimoja ya tukio limeficha udhaifu wa kiutendaji na vile Rais anatumika vibaya. Sitaki sema lolote ila mm nakaa pembeni nasubiri muone nini kitatokea na tusijifiche serikali ina budget sasa kile.

Wamepanga pasipo budget kitafika wapi na tuseme kweli je huu mpango ni dira ya serikali ama umeibukia wapi?

Mh Rais, ofisi yako ni kubwa sana ukitumiwa na wanafiki wachache kwa kujifanya wazalendo basi usije kimbia kiumbe ulichokiumba kwa midomo yako na kukisifia sana. Kama kweli unataka kuwa na serikali yenye sura ya kiumoja wa kitaifa wafanye wote wakuone ni Baba yao na utafurahi.
tishio kwa usalama wa nani yeye anadeal na mkoa wake nafikiri ndiyo mfano kwa wakuu wa mikoa wengine wanatakiwa kuiga jinsi ya kuongoza mkoa.....na baadhi ya mawaziri waliolala nao waige.... jamani dhama zimebadilika na sisi tubadilshe fikra ...
 
Kuna huyu mkuu wa mkoa anataka kila alipo na atakapo kuwa tv zote zimuonyeshe na ka hazifanyi basi anazipa kubwa.

Kama utakumbuka ameshafanya kwa redio fulan pale aliishambulia live mbele ya makamu wa Rais ila jambo la busara alilo lifanya makamo wa Rais nikuto comment juu ya kile alisema...

Sio mara ya kwanza alishawahi mraruwa kamanda Siro pia hii ilikuwa mbele ya waziri mkuu. Hapa pia waziri alimpa majibu yake.

Kiukweli huyu mkuu wa mkoa amefanya rais achukiwe haya na wale wanampenda hata pamoja na rais kutuliza hali ya hewa.
Ipo siri watu wamefunga kwa 10 years what wil happen let keep cool.

Mh Rais take this habari....
Huo mfungo wa 10 yrs, unamaanisha utaisha oct 2025 au ulisitishwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom