Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,320
- 115,312
Aisee. Nishawahi waza kitu kama hicho hatimaye kimekuwa kweli.
Katika hizi interview lazima yatakuwepo kati ya haya kama sio watu kupata wapenzi wapya,kuna kuachwa, kuna kukejeliwa siku ukitibuana na mtu kwa sababu ameshakujua kwa asilimia fulani.
Pole sana Muosha Rungu.
Katika hizi interview lazima yatakuwepo kati ya haya kama sio watu kupata wapenzi wapya,kuna kuachwa, kuna kukejeliwa siku ukitibuana na mtu kwa sababu ameshakujua kwa asilimia fulani.
Pole sana Muosha Rungu.