jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Fungua macho, soma utaelewa.Wala sijajua unasema nini?
Fungua macho, soma utaelewa.Wala sijajua unasema nini?
kwani we mumeo ni polepole au magufuli?
Tunafuata ushauri wenu, kumbe nyie kumuweka kwenye list ya mafisadi papa ule ulikuwa uongo, hivyo mlikuwamnataka afukuzwe ccm ili nyie mpate candidate. Serikali haina interest baada ya kujua upinzani ni wapika majungukwa hiyo akina slaa ndio mahakama!!!! mpelekeni mahakamani nafikiri mnao ushahidi sababu nyinyi mmeendelea kumuita fisadi,sisi wengine tushaacha kumuita fisadi.
mbona tunawashauri mumkamate aliyeuza nyumba serikali hamtekelezi?Tunafuata ushauri wenu, kumbe nyie kumuweka kwenye list ya mafisadi papa ule ulikuwa uongo, hivyo mlikuwamnataka afukuzwe ccm ili nyie mpate candidate. Serikali haina interest baada ya kujua upinzani ni wapika majungu
Na wewe umo? mbona unaanza kuleta stori za lisu humu,?Asilazimishe watu wafungwe kwa nguvu kwa makosa ya rushwa aache sheria zifanye kazi yake. huyu Rais vipi.
Anajihamiii kama na yeye kala rushwa nae afungwe tuuuWapi alipolazimisha?mbona unajihami?
Tunahitaji rais wa kusaidia sheria za taasisi zetu ziwe kiongozi siyo hawa wanao jiona wao ni mabosi na taasisi zetu ni za kuwatumikia. Wanatakiwa wao wenyewe waziogope na wajue wakifanya ujinga watafunguliwa mashitaka na kuchukuliwa hatua bila kujali wao ni nani.kwani hatumjui tabia yake.bunge yeye mahakama yeye serikali yeye.siyo utawala bora huo
Si aliwateua watendaji nakuwaapisha majuzi si angewaambia anchotaka kitendeke tu pale ikulu na safu nzima ya juu ya PCCB ilikuwa pale. Hizi kiki nyingine ni za baiskeli
Lumumba kwa matusi utafikiri wamewekewa memory card ya matusi!!!!1