kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Muda wote anavyohutubia taifa ni kulalamika na kutoa ahadi kana kwamba bado yupo kwenye kampeni. 2020 kesho tu amebakiza mihula miwili ya bajeti, bajeti ya mwaka huu haitekelezeki ahadi alizoahidi hazitekelezeki. Milion 50 kila kijiji sijui zitatoka wapi na bado anasema anataka Tanzania iwe donors country nguo walizovaa wasukuma wa Chato zikavaliwe tena na akina Jay Z USA.