Mjadala wa katiba mpya unapiganiwa na wanaharakati wa kisiasa wakishinikiza wananchi kuwaunga mkono, lengo lake kuu si kuwasaidia wananchi (wamachinga,mama ntilie, wafanyakazi) bali ni kuawasaidia wanasiasa hao kushika hatamu za uongozi kwa maslahi yao na familia zao, na pia kuongeza nafasi za...
Huu uzi haupingi FOREX,
kama kingereza shida mwambie aliepost atafsiri.
huu uzi unawatahadharisha watu kukimbilia kulipia service za robot ambazo zinawadanganya watu kuwa forex ni "get rich quick scheme".
na sort of mining services zinazofanya watu waone forex haiitaji knowledge kubwa.
in real...
Mange Kimambi kachagua hio kama kazi yake, tusubiri astaafu akiwa na miaka 60.
Wanaojitambua wanajua njia sahihi ya kufuata maana hata Mange akiacha kutukana ataokea Mange mwingine na mwingine na mwingine. Lakini ipo siku she'll look back and know how foolish she has been and it will be too late.
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
Watanzania bhana, mmejaa chuki na roho mbaya tu,
Mkuu anapiga kazi,
makosa madogo yanayojitokeza ni changamoto ambazo marais wote wanapata.
Hii ni kesi ambayo imekuwa won kipindi cha Magufuli, lakini hii contract ilikuwa breached 2008/2009 ambapo jamaa hakuwa madarakani, na kesi imekuwa...
Mbona Povu linakutoka, ulitaka waliompiga Lissu risasi wapatikane kwa siku moja.
haya mambo hatua kwa hatua, hata hao wa Lissu watapatikana.
Au mwenzetu mauaji ya kibiti yalikuwa hayakugusi we ulikuwa unaona kama sinema unafurahia tu.
Nenda pale gerezani uone digital zinachezewaje, tena fasta tu na wanakushauri iwe ngapi wakishaona inasoma ngapi kwa sasa. sio wewe ndo utaamua isome ngapi exactly.
Unawaza puzzles tu mzee, vitu vingine ni common sense.
You are trying to think too hard ndio maana unapoteza focus.
You are trying to color things that are already black and white in the own form.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.