bellahh
Member
- Mar 7, 2017
- 95
- 84
jinga mwenyeweJinga lingine hili.
umesikia ama una hisi?Nasikia jamaa aligoma kuunganisha servers za IEBC na Jubilee ili waibe vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule jamaa makamu hata akiongea unajua jamaa ni roho ya MambaKuna ile thread ya kupotea kwake nilisema jamaa lazma apatikane amekufa... Kenya is more than you thinking.... Huko kenya ni mafia.. Siyo sehemu salama ya kuishi muda wote
Na ndio itakavyokuwa..Muulizeni Lowassa na Mbowe, maana mnamuunga mkono mgombea urais aliyeko madarakani na huyo jamaa wa IEBC amepotea chini ya utawala wa rais-mgombea
HiviMuulizeni Lowassa na Mbowe, maana mnamuunga mkono mgombea urais aliyeko madarakani na huyo jamaa wa IEBC amepotea chini ya utawala wa rais-mgombea
Ile ya kuvamiwa nyumba ya Rutto ilikuwa ujanja tu wa kuficha tukio hili ili wasingizie upande wa pili
SHAPANA. Aliyepewa ulinzi wa kufa mtu ni mwenyekiti wa tume Bw. Chebukati, baada ya mfanyakazi mwenzake Chris Musando kupotea.
Siyo Kama jecha ila ni mkurugenzi wa mambo ya ICT kwenye tume ya uchaguzi Kenya...Hivi huyo mkurugenzi aliyeuwawa ndo kama Jecha wetu huku au?
who else has same knowledge about how the voting system works?Hii ndo sababu yakuuliwa View attachment 554838
Was questioning meself the same thing, lakini kama ni fingerprints, si mkono mmoja tu au kiganja au kidole ingetoshea. Sasa kwanini waikate yote, jibu la haraka haraka hapa itakuwa alikatwa akiwa hai, either walihitaji finger prints or hawakuhitaji, he was tortured to death.
Kwani ni Nani huyo mkuu hebu tuambie tu..Jambo ambalo linaniudhi kuhusu nchi yangu hii ya Kenya ni hii ukumbafu ya watu wachache wanao dhani Kenya nzima ni Yao. Sisi kama Wakenya tunataka amani na inajulikana ni nani ako uwezo na nia ya kufanya unyama huu. We know who has the intention and ability of doing this bullshit but everyone is afraid of saying it.
Ajabu!Dah, yote haya ni ili Mtu aitwa Rais?? MUNGU nisaidie Baba.
Hivi finger print inaweza fanya kazi hata kama damu imeshaganda na hakuna mzunguko wa damu?Was questioning meself the same thing, lakini kama ni fingerprints, si mkono mmoja tu au kiganja au kidole ingetoshea. Sasa kwanini waikate yote, jibu la haraka haraka hapa itakuwa alikatwa akiwa hai, either walihitaji finger prints or hawakuhitaji, he was tortured to death.
RIP.