MAJANGA: Tanzania kuilipa kampuni ya KONOIKE zaidi ya Sh. Bilioni 133 baada ya kushindwa kesi mahakamani!

..wanasheria wetu siyo wanaokwenda kutetea kesi kama hii ya Konoike vs Wizara ya Ujenzi.

..wapo mawakili maalum waliosajiliwa kufanya kazi, kutetea kesi, ktk mahakama ya kimataifa ya migogoro ya kibiashara ambako ndiko Konoike walipotushtaki.

..kwa hiyo tunapokuwa tumeshtakiwa nje ya nchi, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Tz hulazimika kukodisha mawakili wa kututetea huko nje.

..kama Konoike wangefungua kesi ya madai ktk mahakama za Tz basi mawakili wa pande zote wangekuwa wanatoka hapahapa nchini.

..Haiwezekani mwanasheria wa hapa Tz ahusike ktk kuwashawishi Konoike kuhusu hatua za kuchukua, mfano kukamata bombadier. Hatua zozote zile ambazo Konoike watachukua ili kupata stahiki yao zitatokana na ushauri wa mawakili walioko nje ya Tz ambao waliwatetea ktk kesi hiyo.

NB:

..Unaposikia Wakili msomi kwa hapa Tz maana yake ni kwamba amesajiliwa kutetea kesi ktk mahakama kuu ya Tanzania. Wakili huyo hawezi kutetea kesi ktk mahakama za Zambia, Zimbabwe, Marekani, ...ni wakili wa hapa Tz tu.

CC Naytsory

Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi, ikiwa tumekiuka mikataba tuliyosaini wenyewe, hsta wakili angetokea wapi uwezekano wa kushindwa ni mkubwa. Jambo la msingi tukishasaini mkataba tuuheshimu na kama mkataba hauna maslahi kwa taifa letu ni vema kujitoa mapema ili tusiliingize taifa kwenye matatizo.
 
Watanzania bhana, mmejaa chuki na roho mbaya tu,
Mkuu anapiga kazi,
makosa madogo yanayojitokeza ni changamoto ambazo marais wote wanapata.
Hii ni kesi ambayo imekuwa won kipindi cha Magufuli, lakini hii contract ilikuwa breached 2008/2009 ambapo jamaa hakuwa madarakani, na kesi imekuwa ikiendelea lakini mwaka jana ndo waJapan wameshinda.
ila watu mna mitazamo hasi na ndio mnaochangia kurudisha maendeleo ya Tanzania nyuma.
 
Watanzania bhana, mmejaa chuki na roho mbaya tu,
Mkuu anapiga kazi,
makosa madogo yanayojitokeza ni changamoto ambazo marais wote wanapata.
Hii ni kesi ambayo imekuwa won kipindi cha Magufuli, lakini hii contract ilikuwa breached 2008/2009 ambapo jamaa hakuwa madarakani, na kesi imekuwa ikiendelea lakini mwaka jana ndo waJapan wameshinda.
ila watu mna mitazamo hasi na ndio mnaochangia kurudisha maendeleo ya Tanzania nyuma.
Kwani waziri wa ujenzi alikuwa ni nani wakati huo? Huenda hapa watu wanamnyooshea kidole kwa cheo cha uwaziri na sasa ni rais ambaye anasema anainyoosha nchi. Na hili ni mojawapo katika kurekebisha nchi ili ikae sawa sawa bila madudu
 
Kwani waziri wa ujenzi alikuwa ni nani wakati huo? Huenda hapa watu wanamnyooshea kidole kwa cheo cha uwaziri na sasa ni rais ambaye anasema anainyoosha nchi. Na hili ni mojawapo katika kurekebisha nchi ili ikae sawa sawa bila madudu
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
 
Kwani waziri wa ujenzi alikuwa ni nani wakati huo? Huenda hapa watu wanamnyooshea kidole kwa cheo cha uwaziri na sasa ni rais ambaye anasema anainyoosha nchi. Na hili ni mojawapo katika kurekebisha nchi ili ikae sawa sawa bila madudu
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
 
Kwani waziri wa ujenzi alikuwa ni nani wakati huo? Huenda hapa watu wanamnyooshea kidole kwa cheo cha uwaziri na sasa ni rais ambaye anasema anainyoosha nchi. Na hili ni mojawapo katika kurekebisha nchi ili ikae sawa sawa bila madudu
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
 
Kwani waziri wa ujenzi alikuwa ni nani wakati huo? Huenda hapa watu wanamnyooshea kidole kwa cheo cha uwaziri na sasa ni rais ambaye anasema anainyoosha nchi. Na hili ni mojawapo katika kurekebisha nchi ili ikae sawa sawa bila madudu
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
 
For others they Learn Through Mistakes but for us it's a mistake to learn.
 
Kampuni ya Ujenzi ya nchini Japan imeiomba Mahakama kuitaka Serikali ya Tanzania ilipe fidia ya zaidi ya Shilingi Bilioni 133 baada ya kushinda shauri walilofungua baada ya TANROADS kukiuka masharti ya tenda ya Ujenzi wa barabara.

Imebainika kuwa TANROADS pamoja na Wizara ya Ujenzi ilitoa tenda kwa Kampuni nyingine ili imalizie Ujenzi wa barabara yenye urefu wa Maili 79.

=======
Law360, New York (September 27, 2017, 7:09 PM EDT) -- A Japanese construction company asked a D.C. federal court on Tuesday to sign off on a more than $60 million arbitral award issued against several Tanzanian government agencies following a stymied road improvement project.

Konoike Construction Co. Ltd. won the February 2016 award after a London tribunal concluded that the Tanzanian National Roads Agency, the Ministry of Works and other Tanzanian government agencies had improperly called upon another contractor to finish the project on a 79-mile stretch of road in the African nation's interior after Konoike had given notice of its intention to terminate the contract.

The tribunal found that Konoike's notice of its intention to terminate — a measure the construction company took after the project had been beset with delays — did not mean that the Tanzanian agencies could eject Konoike from the project without reaching an agreement on the terms for ending their contract. They concluded that Tanzania had breached that contract and awarded Konoike more than $60 million.

Konoike is asking the court to confirm the award and to order Tanzania to pay what it owes.

The award includes contract damages, interest and costs and also requires the Tanzanian ministries and its attorney general to indemnify Konoike for any additional tax assessments or related interest or fines, according to the complaint.

The London tribunal had been constituted under the arbitration rules of the International Chamber of Commerce’s International Court of Arbitration.

Attorneys and representatives for the parties could not immediately be reached for comment Wednesday.

The dispute has its origins in a 2003 contract by which Konoike agreed to design and construct upgrades for 79 miles of road between what is now the Tanzanian capital, Dodoma, and the nearby city of Manyoni. The project was originally slated for completion in 2006, but a series of issues arose causing the project to be delayed.

Another target completion date in 2008 was missed when further disputes arose between the parties, and by December of that year, Konoike notified Tanzania of its intention to terminate the contract. Several months later, Konoike submitted an application for its final payment, having completed 92 percent of the work but only receiving 71 percent of the payment due.

In the meantime, however, Tanzania had engaged a replacement contractor and required Konoike to cease all further work. The tribunal concluded those actions amounted to a repudiatory breach of the contract, and that Konoike had therefore been entitled to terminate the contract in March 2009.

Konoike is represented by Steven K. Davidson, Michael J. Baratz and Jared R. Butcher of Steptoe & Johnson LLP.

Attorney information for Tanzania was not available Wednesday.

The case is Konoike Construction Co. Limited v. Ministry Of Works (Tanzania) et al., case number 1:17-cv-01986, in the U.S. District Court for the District of Columbia.
Twafwa!!!!
 
Kipindi hiko Magufuli alikuwa Minister of Lands and Human Settlements;
Hata kama kuna sehemu jamaa anakosea ila kama madeni viporo ya enzi za wahenga bado mnamlaumu yeye, huo ni unafki na chuki ya hali ya juu.
Aaaahhhh, sasa ninaanza kupata picha kwanini kesi za kuidai serikali fidia zinashamiri hivi sasa ''kununua ndege cash money, nchi hii ni tajiri tunafaa kuwa donors country, kutangazwa kwa makusanyo ya kodi kila mwezi...n.k. Yote kwa pamoja yamepelekea watu kuvutiwa na mazigo uliopo hazina
 
Japanese Co. Gets OK Of $61M Award Against Tanzania

By Shayna Posses
March 8, 2019, 3:01 PM EST

A D.C. federal judge confirmed a Japanese company's more than $61 million arbitration award stemming from a Tanzanian road construction contract, saying the country's government didn't provide a valid excuse for...

Japanese Co. Gets OK Of $61M Award Against Tanzania - Law360

Unaweza soma pia > Serikali yakacha kutokea Mahakamani kwenye kesi dhidi ya Kampuni ya ujenzi Konoike. Yadaiwa Dola Milioni 60 - JamiiForums
 

Attachments

  • gov.uscourts.dcd.189744.1.pdf
    56.7 KB · Views: 16
Japanese Co. Gets OK Of $61M Award Against Tanzania

By Shayna Posses
March 8, 2019, 3:01 PM EST

A D.C. federal judge confirmed a Japanese company's more than $61 million arbitration award stemming from a Tanzanian road construction contract, saying the country's government didn't provide a valid excuse for...
142,658,000,000 equivalent to Tsh!
 
Back
Top Bottom