Kibiti: Watanzania tuwe na amani, hali shwari sasa Kibiti

sniper ataerudi mzigoni labda amwe ndio wewe unaejiita MBITIYAZA, ila wewe watakunyoosha 2 kama kakaako Rashid Kapela


hahaha nasemaga ningekuwa men jaman mie ningekuwa nishakaa sana gerezani !yaan mie acha tu kwanza sina neno msamiat wa woga ! i thnk ningekuwa nishajifunza mapambano fulan !hii ishu ya lissu ningeifanyia revenge mngeshaa!dadek
 
Hiyo picha ya marehemu duh! Maiti ya marehemu jambazi mkuu inatabasamu tu. Nchi ya vi-wonder....

Tafuteni waliomshambulia Mh. Lissu, msitutoe relini

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
imebidi nicheke kama mazuri, huyu ndio jambazi mkuu kweli?basi lazima alikuwa na mtu juu anamfund ndio tunaetaka kumjua otherwise we're not safe
 
hahaha nasemaga ningekuwa men jaman mie ningekuwa nishakaa sana gerezani !yaan mie acha tu kwanza sina neno msamiat wa woga ! i thnk ningekuwa nishajifunza mapambano fulan !hii ishu ya lissu ningeifanyia revenge mngeshaa!dadek

Umekazania sana suala la Lisu, sijaelewa mahusiano ya mashambulizi ya Lisu na jambazi Kapela, unadhani yeye ndo kahusika katika shambulizi la Lissu? Maana kama nidyo basi ni jambo la kusherekea. HUU NI USHINDI ATI kWA JAMBAZI ALIYEKUWA AKIUWA WATANZANIA WENZETU NA ALIYEKUWA AKITAFUTWA KWA MUDA MREFU
 
Kheri angekuwa muuza karanga pale mbagala rangi tatu, ale kiulaini kwa jasho lake acheke na majirani kuliko hivo alivoishia.
 
msitutoe kwenye reli !tutafutieni waliompiga risasi LISU! ndo mje mseme kuna usalama !

sijui sniper wa kibiti kaishia wapi !
Mbona Povu linakutoka, ulitaka waliompiga Lissu risasi wapatikane kwa siku moja.

haya mambo hatua kwa hatua, hata hao wa Lissu watapatikana.

Au mwenzetu mauaji ya kibiti yalikuwa hayakugusi we ulikuwa unaona kama sinema unafurahia tu.
 
hahaha nasemaga ningekuwa men jaman mie ningekuwa nishakaa sana gerezani !yaan mie acha tu kwanza sina neno msamiat wa woga ! i thnk ningekuwa nishajifunza mapambano fulan !hii ishu ya lissu ningeifanyia revenge mngeshaa!dadek
hahaha hata woman anaweza pia. . .jipange 2
 
Nimerekebisha kuelezea vizuri. Please soma tena
Nashukuru nimeelewa kwa sasa, afadhali kama ndiyo hivyo maana mara nyingi taarifa huwa zinachanganya sana .Sasa twaweza sema hali ya masiha ya kawaida yanaweza kurudia hali yake kwa kuwa ilikuwa ni woga wa nchi nzima
 
Back
Top Bottom