Nenda pale gerezani uone digital zinachezewaje, tena fasta tu na wanakushauri iwe ngapi wakishaona inasoma ngapi kwa sasa. sio wewe ndo utaamua isome ngapi exactly.Kk gari ambayo km zake zinasoma kidigital huwezi chakachua km kwani ukichakachua lazima uguse control box na bei yake sijui kama unaijua?
Sent using Jamii Forums mobile app