Sote tu mashahidi, mahudhurio ya wabunge siyo mazuri na wanasisnzia sana wakati wa vikao vya bunge. Hii haitokei kwa bahati mbaya, bali inasababishwa na pesa nyingi za posho wanazolipwa wakati wa vikao zinazopelekea wabunge kukesha kwenye uzinzi na ulevi.
Tunakumbuka Charles Kitwanga aliwahi...
Huyu tayari ana nuksi 2.
...ya kwanza ni singo mama. Wa nini sasa huyu sshakuwa mtumba bin scraper?
...ya pili ana miaka 25. Kila kitu kimeisha muda wake. Wa umri huu wanakuwaga hata hawana hamu ya mgegedo. Tupa kule takataka hii.
Kuna mmoja akimaliza PhD chuo fulani cha nje 2011 mpk leo yupo kwenye korido za Lumumba kama chawa wa kuandika propaganda mitandaoni, analipwa laki 4 tu kwa mwezi. Kila mwaka anadanganywa atapewa uteuzi.
Hivi unakuwaje na PhD halafu unakubali kuwa "chawa mzee"?
Mleta mada umeandika kitu tofauti na kile alichoandika Lema kwenye ukurasa wake wa X.
Lema kaongelea fomu ya uenyekiti, wewe unaongelea urais.
Hebu soma tena
Sababu ni moja tu. Chama chako kiko juu ya katiba na sheria kwa kuwa mwenyekiti wake kupitia kofia ya urais yuko juu ya katiba na sheria.
Maono yake, maagizo yake na utekelezaji wake (rais) hauhojiwi na chombo chochote.
Inasemekana huyu bwana elnino hayuko hai kwa sasa. Akipata hasara kubwa msimu wa kwanza tu akaamua kujinyonga. Chezea kilimo wewe!
Kilimo unaweza kuvuna mqvuno mengi ukakosa, ama soko likawepo lkn mazao yakagoma. Hapo bado siasa haijaingilia kati.
Kampuni za kitalii zilizopigwa faini ya $500 kwa kila mtalii aliyekuwa anakula mchana. Serikali haihusiki?
Nilitegemea serikali ije na tamko la kuomba radhi badala ya kuja na upuuzi huu wa kukanusha.
Kuna mkuu wa Wilaya pia amekiri kuwa wanaokula mchana ktk mwezi mtukufu wanavunja sheria kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.