Mko poa madr wa jf
Wapendwa mimi Nina mtu wangu wa karibu ana tatizo la usikivu yaani hasikii vizuri. Ni tatizo la muda mrefu Sana Sasa swali liko hapa
Je Kuna vyakula au vitu ambavyo akila vitaongeza uwezo kusikia hata kidogo?!kwa mfano asieona vizuri anaambiwa atafune karoti kwa wingi...
Habari wakuu
Mimi ni mama wa nyumbani mkazi wa uswahilini huku asilimia kubwa wakazi wa huku wana vipato vya chini.
Sasa mimi nina elfu 50 nataka kufanya huku kwetu naomba mnisaidie ushauri
Ni biashara gani itafaa kutokana na mazingira niliyopo?
Pia soma: Baadhi ya njia unazoweza kutumia...
Habari ndugu zangu
Poleni na msiba
Mi naomba mwenye series ya KULFI anipe iko inaonyeshwa Azam two Sasa Mimi kuifatilia vile naona kuchelewa nimeitafuta YouTube nimekuta matangazo yake tu km Ni kipande basi kinakuwa Cha mbali vipande vya mwanzo sivioni
Msaada plz
habarini wakuu,
Nina mdogo wangu ana mimba ya miezi minne sasa. Amekuwa analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na akikojoa unatoka mkojo kidogo na maumivu.
Sasa leo nikampeleka hospital akapimwa vipimo mbalimbali vipimo vingine viko ila amekutwa na UTI tu.
Sasa Dr...
Habarini
Wiki tatu zilizopita nilikuwa na hali mbaya macho yalikuwa yananiuma vibaya sana , tatizo kubwa likiwa ni mwanga yaani penye giza maumivu yanapungua.
Basi nikaenda hospitali nikapimwa nikapewa dawa za kutumia mwezi mzima now sijambo ingawa bado naendelea na dawa
Sasa watu wangu wa...
Leo asubuhi kuna mdudu wa kuruka kaning'ata juu ya jicho paliumaa halafu pakaanza kuvimba mpaka now jicho limevimba balaa ila sikufanikiwa kujua ni mdudu gani
Ushauri plz...
1.Usiamke mapema.
2. Usipange matumizi ya Pesa zako.
3. Usiweke akiba mpaka utakapo-kuwa tajiri.
4. Chagua kazi. Mimi nimesoma siwezi kufanya hii kazi.
5. Usifikirie kuanzisha biashara mpaka malaika akishuka kutoka mbinguni na kukukabidhi mtaji.
6. Endelea kuilahumu serikali na wazazi ambao...
Habarini wakuu naomba msaada wakitaalamu kuna kitu kinachoma kifuani upande wa ziwa la kulia linavyochoma ni kama kichomi ila nashindwa kukiita kichomi kwasababu kipo kifuani na sio mbavuni.
Msaada wakuu
Mbunye papuchi dushe..n.k
Baada ya kuingia jf nikayakuta maneno haya yanatumika
Mara ya kwanza sikuelewa yanamaanisha nn
Na nilipojua maana yake nilijichekea pke yangu km chendu
Heko kwa kwa mwanajf alieyatunga
TANZANIA YA VIWANDA INAKUJA SOON
Lakini Shetani ni m'baya sana..
Sa alikua anamjaribu Yesu eti abadilishe mawe
kuwa mkate. Tungekua tunajenga nyumba na nini? imagine Unashindwa Kulipa Rent Landlord
anakuja na Chai Anakula Nyumba yake Unalala nje?
#FAHAMU Muigizaji wa filamu ya Beast of no Nation, Abraham Attah (Agu) ambaye ni raia wa Ghana, hakuwahi kuigiza filamu yoyote kabla ya hiyo, alikutwa mtaani akicheza mpira na muongozaji wa filamu Cary Fukunaga na kumuomba aende kwenye usaili kama atapenda, na kweli akaenda na kufanikiwa kuwa...
#Vituko Jamaa pichani raia wa Vietnam aliyetupa kisogo siku ya xmas juzi akiwa uwanja wa sita kwa sita alivunjika maeneo yake baada ya kujaribu styles za kufa mtu hivyo kiungo chake cha uzazi kuvunjika na kukimbizwa hospitali. Madaktari haraka walimfanyia upasuaji na sasa anaendelea vizuri hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.