Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
Mbona mnatuchanganya,huyu jamaa si tumeambiwa hajakamatwa??
Hujamuelewa mtoa mada..!Mbona mnatuchanganya,huyu jamaa si tumeambiwa hajakamatwa??
Alikamatwa na kishaachiwaMbona mnatuchanganya,huyu jamaa si tumeambiwa hajakamatwa??
Mbona mnatuchanganya,huyu jamaa si tumeambiwa hajakamatwa??
Hamuelewi mleta mada kamaanisha nini 'biashara imedoda' ?Uyu jamaa, sialikanusha ii habari
Bring back kutoka wapi??
aiseee....kwani kaenda wapi
Uyu jamaa, sialikanusha ii habari
Mbona mnatuchanganya,huyu jamaa si tumeambiwa hajakamatwa??
Hamjamuelewa tu mleta mada masoud alivyotoweka tu jamaa akatengeneza t-shirt za bring back masoudy kipanya lakin hata siku mbili hazijapita masoudy akakanusha kupotezwa sasa jamaa mat-shirt yake yakawa yamedoda namna hiyoBring back kutoka wapi??
ohooolHamjamuelewa tu mleta mada masoud alivyotoweka tu jamaa akatengeneza t-shirt za bring back masoudy kipanya lakin hata siku mbili hazijapita masoudy akakanusha kupotezwa sasa jamaa mat-shirt yake yakawa yamedoda namna hiyo
Good pointiHamjamuelewa tu mleta mada masoud alivyotoweka tu jamaa akatengeneza t-shirt za bring back masoudy kipanya lakin hata siku mbili hazijapita masoudy akakanusha kupotezwa sasa jamaa mat-shirt yake yakawa yamedoda namna hiyo
Inashangaza watu wanaposhindwa kuelewa kitu kidogo kama hiki!Hamjamuelewa tu mleta mada masoud alivyotoweka tu jamaa akatengeneza t-shirt za bring back masoudy kipanya lakin hata siku mbili hazijapita masoudy akakanusha kupotezwa sasa jamaa mat-shirt yake yakawa yamedoda namna hiyo
YUPO MTAANI KAMA KAWAIDAMbona mnatuchanganya,huyu jamaa si tumeambiwa hajakamatwa??
Inashangaza kweli hawa ndo maGT wetuInashangaza watu wanaposhindwa kuelewa kitu kidogo kama hiki!
Inashangaza watu wanaposhindwa kuelewa kitu kidogo kama hiki!