Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
Mko poa madr wa jf
Wapendwa mimi Nina mtu wangu wa karibu ana tatizo la usikivu yaani hasikii vizuri. Ni tatizo la muda mrefu Sana Sasa swali liko hapa
Je Kuna vyakula au vitu ambavyo akila vitaongeza uwezo kusikia hata kidogo?!kwa mfano asieona vizuri anaambiwa atafune karoti kwa wingi itamsaidia
Je asiyesikia vizuri atumie nini apate unafuu?!
Wapendwa mimi Nina mtu wangu wa karibu ana tatizo la usikivu yaani hasikii vizuri. Ni tatizo la muda mrefu Sana Sasa swali liko hapa
Je Kuna vyakula au vitu ambavyo akila vitaongeza uwezo kusikia hata kidogo?!kwa mfano asieona vizuri anaambiwa atafune karoti kwa wingi itamsaidia
Je asiyesikia vizuri atumie nini apate unafuu?!