Ni ipi dawa ya kutibu mdondo kwa kuku?

Husna Muba

JF-Expert Member
Jan 28, 2017
14,524
44,567
Habari wakuu

Naomba mnusaidie kunielekeza dawa ya kutibu mdondo wa kuku. Naomba iwe ya kienyeji bandugu
 
Magonjwa ya kuku ni hatari sana kwa wafugaji.
Mimi ninachokifanya, nachanganya madawa yote yaliyofanyiwa utafiti kuwa yanatibu magonjwa ya kuku. Baada ya kuyachanganya nakausha alafu nasaga kupata unga ambao nauchanganya kwenye chakula cha kuku alafu nawapatia kuku wangu. Hii imenisaidia kuondokana na changamoto hizo.
 
Magonjwa ya kuku ni hatari sana kwa wafugaji.
Mimi ninachokifanya, nachanganya madawa yote yaliyofanyiwa utafiti kuwa yanatibu magonjwa ya kuku. Baada ya kuyachanganya nakausha alafu nasaga kupata unga ambao nauchanganya kwenye chakula cha kuku alafu nawapatia kuku wangu. Hii imenisaidia kuondokana na changamoto hizo.
Good, nitajie na mimi hayo madawa nichanganyeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Naomba mnusaidie kunielekeza dawa ya kutibu mdondo wa kuku. Naomba iwe ya kienyeji bandugu

Mdondo hauna dawa. Unapaswa kuwachanja kuwakinga nao. Ukichelewa u r fucked big time.

Unaweza kuwapa alovera kama chanjo. Inasaidia sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom