Wakuu naombeni ushauri,
Mimi ni graduate lakini nilikua nimejiajiri mpaka mtaji ulipofilisika.
Sasa hivi nimeajiliwa kiwanda cha nondo, nafanya kazi ngumu sana na tena nimepangiwa shift ya usiku.Kwa kweli hii kazi naichukia sana sema shida sina jinsi.
Baada ya kufanya matumizi yote ya...
Wakuu naomba kufahamishwa maduka ya vifaa vya ulinzi app dar yanapatikana wapi.
Nataka vifaa Kama Mapanga marefu ya kininja,nguo za kikomando na dhana mbali mbali.
Bill kusahau zile tochi kubwa za kuchaji.
Wakuu huu mpango wa kuwathamini Machinga sio wa bahati mbaya.Hii ni karata kubwa kisiasa hasa kwa chama kilichochokwa na wananchi.
Watu wanajiuliza WHY Machinga?
(1) Population ya vijana wengi hasa mijini ni Machinga.
(2)HII NDIO POINT KUU
Watu wanasema Watanzania ni waoga,hasa katika mambo...
Maradona;
Nimesha sema sana Mourinho ni kocha bora sana kuliko Gardiola.
-Mfumo wa tick tack(pasi nyingi)yeye sio mwanzilishi,ameiga kwa Johan.
-Kwa sasa anabebwa na pesa za waarabu,anasajili mchezaji yeyote anayemtaka.
My take
Hayo ni maneno ya Maradona,so mjumbe hauwawi
Aiseee...
Kwa kweli sina la kusema,baba shikamoo.
Yan dah!,Mzee heshima yako kiongozi.
Narudia tena,Shikamoo baba kiongozi.... shikamoo sana.
Yaniiiii.....duuuuuh
Wakuu,kutokana ni hili janga la ushoga kuzidi kushika kasi kila kona ya dunia je tutumie mbinu gani kulinda vijana wetu wa kiume.
Kwa kweli hakuna jambo litakalo kuja kunisikitisha kama kusikia mwanangu wa kiume amejiingiza kwenye hili janga la USHOGA
Hivi kwanini Tigo Fiesta huwa inafanyika Bukoba mjini na Muleba.Hii inapelekea Kagera kuwa mkoa pekee ambao hili tamasha ufanyika mara mbili ndani ya mkoa mmoja.
Kulikoni wana Kagera mnapenda sana burudani kuliko mikoa mingine au nini kilichopo nyuma ya pazia?
Wakuu nimekua nikifuatilia mijadala mbali mbali inayohusu huu ugonjwa,nakugundua kuwa ni ugonjwa hatari sana.
Naombeni msaada wakujua gharama za chanjo ya huu ugonjwa hapa nchini kwetu.
Wakuu kwa ambae anatumia s7 edge hizi zianazouzwa laki 7 mpaka 8 ebu anipe uzoefu wake.
Nataka kununua hii simu sasa sijui mapungufu yake,kinga ni bora kuliko tiba.
Wakuu naombeni msaada kidogo wakujua app nzuri ya kulinda simu.
Simu yangu inanipa presha sana,wezi wameikosa kosa kama mara 3.
App nyingi hazifanyi kazi vizuri,nyingi mpaka uroot simu.Kwa upande wangu naogopa kuroot hii simu.
Wakuu,kuna staili mpya ya wizi apa dar nimehishuhudia sehemu tofauti tofauti hasa mida ya usiku.
Wizi huu mara nyingi hufanyika vituo vya mabasi,wanakua wezi wa 4.Mmoja anakuanzishia ugomvi ghafla,wale wengine wanajifanya kuamulia huku ukivutwa gizani.
Wanahakikisha wanaendelea kukuvutia mbali...
Wakuu,anaandika Edo kumwembe
Hivi ile fashion ya vijana wa dar kwenda kulima vitunguu Ruaha imeishia wapi....
Acheni kuchezea kazi za watu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kuna habari nilikua nazisikia muda mrefu kuhusu baadhi ya wenye nyumba kuwafanyia vibweka wapangaji,hasa apa dar.
Leo katika pita pita zangu maeneo ya TABATA ndio nimekutana na hili swala,kuwa kuna wenye nyumba wanamtindo wa kuwafanyia vibweka vya nguvu za giza wapangaji wao hili wakimbie...
Kumekua na tetesi nyingi sana toka msanii Rich Mavoko ajiondoe WCB.
Wengi wamemsakama Diamond kwamba alikua anamnyonya sana Mavoko,na wengine wakimuona Mavoko kakengeuka bila kusahau tetesi za wivu wa mapenzi.
UKWELI NI HUU
Kipindi Diamond ameanza kupata umaarufu mkubwa ndani na nje ya...
Wakuu,naombeni kufahamishwa kwanini hizi Samsung zinatofautiana sana bei.
Nimetembelea pages za Instagram na baadhi ya maduka kariakoo kuulizia bei ya Samsung s7 edge na kukuta bei inarange 750,000/= -850,000/=.
Lakini nimetembelea maduka ya Samsung apa dar,na kuambiwa Samsung s7 edge inauzwa...
Ni hatua kubwa sana kwake,mara baada ya tetesi nyingi za kufukuzwa WCB.
Bora kaamua kujiajiri,na umaarufu wake utamsaidia kujitangaza sana.
Hongera bro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.