Webb JF-Expert Member Joined Oct 4, 2016 Posts 425 Reaction score 884 Apr 27, 2019 #1 Wakuu anaejua gharama za chumba Cha kawaida pale Darajani anijulishe. Na utaratibu wa kupanga ukoje kwa Zanzibar hasa kwa sisi wageni kutoka Bara.
Wakuu anaejua gharama za chumba Cha kawaida pale Darajani anijulishe. Na utaratibu wa kupanga ukoje kwa Zanzibar hasa kwa sisi wageni kutoka Bara.
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,523 Reaction score 14,002 Apr 27, 2019 #2 Ninachojua mimi uwe umeoa, kama hujaoa kuwa makini achana na mambo ya kugusa gusa mabinti wa watu utaliwa kiboga. Karibu Zanzibari yakhe!
Ninachojua mimi uwe umeoa, kama hujaoa kuwa makini achana na mambo ya kugusa gusa mabinti wa watu utaliwa kiboga. Karibu Zanzibari yakhe!
Chrismoris JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 14,234 Reaction score 17,827 Apr 27, 2019 #3 Kama wewe ni mkristu, umejiandaa vipi kukabiliana na ubaguzi wa kidini ?
B Baba Joana Member Joined Feb 2, 2024 Posts 82 Reaction score 96 Feb 13, 2024 #4 Natafta chumba unguja, msaada wenu