Nadhani hii ni mimba ya kwanza kwenu.Kupika na kukaa Jirani na jiko hakuna tatizo hapo.Angalia maisha ya wajawazito kule Kijijini.wengi wanafanya kazi zote mpaka wakati wa kujifungua.Wapi wanaojifungua akiwa jikoni anapika,wapo wanajifungua wakiwa shamba pia.*Zingatia Clinic*
Huyo mwanamke Muuwaji sana.....Kikubwa Akishakupa mrejesho jinsi alivyopata kichapo kama akiwa hair FUTA NAMBA YAKE NA IKIWEZEKANA MCHANE MAKAVU JAMAA YAKE....KUNA MWANAMKE MIMI ALITAKA KUNIPONZA,KASEMA ANAKAA KWA MAMA YAKE MDOGO KUMBE YUPO KWA MUMEWE.....KWENDA KUULIZIA MZIKI WAKE ULIKUWA NOMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.