Search results

  1. T

    Majibu Yana Maana Gani haya???!

    Nimeweka attachment hapo
  2. T

    Majibu Yana Maana Gani haya???!

    Naomba kujua maana ya majibu hayo kwenye hiyo attachment.Yaani ukimwi upo au haupo??!
  3. T

    Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

    Asante The Bold.Usiku huu wa SAA saba ndo napitia Simulizi hizi za kitaalamu.Usingizi kwishaaaaaa
  4. T

    Mama zenu ndo wanaowatuma

    Duh...... Kuna ukweli hapo..!
  5. T

    Jakaya Kikwete: Mandela tutakukumbuka daima

    Mzee Sijui ni wapi alikuwa anatoa hela
  6. T

    Msaada: Moto wa jikoni kwa mjamzito unaweza athiri mtoto?

    Nadhani hii ni mimba ya kwanza kwenu.Kupika na kukaa Jirani na jiko hakuna tatizo hapo.Angalia maisha ya wajawazito kule Kijijini.wengi wanafanya kazi zote mpaka wakati wa kujifungua.Wapi wanaojifungua akiwa jikoni anapika,wapo wanajifungua wakiwa shamba pia.*Zingatia Clinic*
  7. T

    Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa

    Vita hii ni ngumu sana.Mungu AMUONGOZE
  8. T

    Wenye watoto kutoruhusiwa kufunga ndoa kanisani wakiwa wamevaa Shela

    Ha ha.....unapiga mimba, akijifungua unaenda kumaliza kimya kimya
  9. T

    Babu wa Loliondo atangaza kukifufua kikombe

    Kaanza tena Babu....Soon na yule wa Tabora Ataibuka tena
  10. T

    Jela miaka 30 kwa kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha pili

    Dah......hatari hawa watoto wa kike
  11. T

    Sitasahau siku nilipopigwa kofi na jambazi

    [emoji12] [emoji12] [emoji12]
  12. T

    Daah, baadhi ya wanawake nyie, ni wauaji kabisa!!!

    Huyo mwanamke Muuwaji sana.....Kikubwa Akishakupa mrejesho jinsi alivyopata kichapo kama akiwa hair FUTA NAMBA YAKE NA IKIWEZEKANA MCHANE MAKAVU JAMAA YAKE....KUNA MWANAMKE MIMI ALITAKA KUNIPONZA,KASEMA ANAKAA KWA MAMA YAKE MDOGO KUMBE YUPO KWA MUMEWE.....KWENDA KUULIZIA MZIKI WAKE ULIKUWA NOMA
  13. T

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    Usinisahau Nifah.
  14. T

    Video: Wananchi walivyopokea kipigo kutoka kwa polisi huko Geita

    Wazee wa ndovu hatupendagi ujinga.
Back
Top Bottom