Unatumia ID gani huko fb na twitter??Hua napenda kuishi maisha ya free kabsaa Hivi jamani mkiona JF kero mnasepa na kuna mitandao chungu nzima Twitter Facebook tumblr instagram na baba lao Whatsapp kwa mfano n msomaj mzur wa stor za hawa watu lakin akasema kama vp mfuate wasap bas kimya wamfuata wala usilielie ooh sijui nin mana mitandao n ming hii sio miaka ya 2002 au 2003 enzi kuna web ya kiswahili ya vijana inaitwa Darhotwire.com tu sasa hiv its yo choice ambayo iko kwa tip za vidole vyako
UJUMBE KWA NIFA NA THE BOLD UMETENGENEZA BASE KUBWA WASAP ME NAONA ANZISHA FB ACCOUNT AF WEKA STOR KULE SEMA ITAENDLEA WASAP KINGILIO BLAH BLAH FULL STOP HUTAPATA KERO YA HIV KUANZA KULIA LIA HAPA WAO JF HAWATAK HZO KITU ZENU MNASEPA ACHENI UTANZANIA KULIA LIA KILA KITU.tupelekeni fb au kwa web yako then maisha yanasonga haya mitandao mingine ina sheria zake nshawaipgwa ban fb mwezi pa1 na kuwatumia passport angu kuonesha ID angu walizingua mpak basi ila ndio hvo nikasepa nikahamia twitter ila now fb wamenirudishia mda huu sio wa kulalamika hata bf/gf akikuzingua unasepa unachek maisha mbele mana kuna maisha mengine ni hayo TU kwa leo.
Mkuu hebu toa hiyo linkMie naendelea kupata mavituz kwenye link ya the Bold Barras uko sehemu ya tano sasa
Unamtafutia banMkuu hebu toa hiyo link
unataka nile Ban kama The Bold?soma pale juu sehemu ya tatu ya BARRAS utaonaMkuu hebu toa hiyo link
naomba jina la blog pmDaaah. Barras kwenye blog nimeimaliza
Sent from my itel it1501 using JamiiForums mobile app
Hivi hairuhusiwi kuweka link ya website? Ndio unakula ban kubwa ukifanya hivoAliweka link ya website yake
Naonaga link nyingi tu za blog mbalimbali labda hiyo sheria ni kwake tu ndo inaapplyHivi hairuhusiwi kuweka link ya website? Ndio unakula ban kubwa ukifanya hivo
YHWH IS GOOD
Ni PM link ya BarrasDaaah. Barras kwenye blog nimeimaliza
Sent from my itel it1501 using JamiiForums mobile app
sehemu ya nne tunaipata wapi mkubwa mbona hujaelekeza?