Hapana Muungano ule ulikuwa ni kuziunganisha nchi mbili kwa kushirikiana baadhi ya mambo ila sijaelewa kwann Wazanzibari wanapewa uongozi huku kwetu Tanganyika lakini hakuna Mtanganyika anayepewa uongozi wa juu kule Zanzibar
Daah huyo Mwl Mpande wa Moshi tech alikuwa ni mbabe wa kupitiliza alikuwa anaonea sana wanafunzi saa 11 asubuhi alikuwa anakuja bwenini kuwaamsha wanafunzi kwa bakora
Habari wanajamii wenzangu
Napenda kupata ushauri mara nyingi huwa inanitokea nakosa kabisa usingizi hadi usiku mwingi kuanzia saa 8 hivi kumetulia ndo vimbwangwa vinaanza napata usingizi wa ghafla alafu nakabwa na dude lisilojulikana nashindwa kufanya lolote nabaki nasali kimya kimya.
Baada ya...
Wakuu twende kwenye mada, hivi ukijiangalia kwenye kioo kikubwa usiku kwa muda mrefu ukiwa chumbani mwako ukiwa umezima taa je kuna madhara yoyote unaweza kuyapata kiroho?
Wanazengo tupeni maoni yenu.
Mshana Jr upo sahihi kwa mtazamo wako na wengine kwa jicho la tatu. Ila dogo pamoja na kuwa yeye ni tajiri kibongobongo ana dharau sana kwa wanamuziki wenzake na alishawahi kutoa kauli kuwa wote wajipange wafanye show pamoja alafu yeye atawakalisha, hiyo ni dharau kubwa kwa upande wa medani za...
Duuuuuh hiyo ni CV ya mama wa mwanamuziki mkubwa toka Africa mashariki na kati halafu ndo aweze kutoboa kimataifa kweli acheni ushamba, meneja wake ni mganga mzuia mvua mwingine muuza drugs na maisha ya ujanja ujanja unategemea nini hapo tena bora wameshindwa maana angerudi na tuzo huyo kwa...
Habari Wanabodi kuna ajali ya gari imetokea usiku wa kuamkia leo barabara kuu ya Kilwa eneo la Mkuranga kijiji cha Dundani ambapo semi la Dangote limegongana uso kwa uso na gari la Tanesco Mkuranga na kusababisha vifo kwa watu 4 sikufanikiwa kupata picha but poleni wafiwa na update zaidi atujulishe.
Huyu ni tapeli tu anapenda kwenda na akili za watanzania wengi kila akisema kitu watu wanashabikia lakini hakuna ukweli wowote. Hana utajiri wowote yote ni madrama tu anapenda kuendesha maisha kwa kiki tu sio maisha halisi. Watanzania lazima tuelewe kuna maisha halisi na maisha ya mtandaoni na...
Hotel 77 Arusha enzi hizo kulikuwa na totoz wa kishua wakali kinoma pia majimama wanaopenda mabrazamen. Yuko wapi Elisante jamaa alikuwa na mavumba hatari anaingia kiwanja na totoz hadi wa3 anawala hadharani duuuuuh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.