Habari,
Msaada wa link ya kudownload drivers za Samsung model 300 E4C ambazo haziuzwi.
Baada ya ku upgrade kutoka Windows 7 kwenda Windows 10 pro 64bits nimepata tatizo za drivers, bluetooth, display etc.
Nimejaribu kusearch nakumbana na za kuuza tu.
Je, wapi nitapata kwa free.
Mambo!
Aisee ni computer [Laptop} gani ambayo ni nzuri kwa maana ya kudumu na muonekano mzuri, na kwa Dar es Salaam ni sehemu gani ninaweza pata ambazo ni original.
Tafadhari mwenye kufahamu namna ya kuweka hii "text watermark" kwenye certificate/cheti, nimejaribu ku google nimepata ila kuna sehemu inanishinda kwenye TIP na namba 7, natanguliza shukrani za dhati.
Mimi nina mahusiano na binti mmoja kwa sasa mahusiano yetu yamefikia miaka mitatu. Lakini cha kushangaza kila ninapokutana naye lazima nitoke machozi, yaani lazima atapigiwa simu ambazo zinanikwaza na nikijaribu kudadisha mwisho wa siku lazima nitoke machozi. Pia nikikagua simu yake lazima...
Wakuu heshima zenu, nimepatwa na tatizo la kiufundi wakati wa kufanya installation ya Adobe photoshop CS5, kwa ufupi installation imemaliza tatizo ni kuifanya isiwe trial ndio imenishinda, kila nikiapply patch inagoma kwa ufafanuzi nimeattach screenshot. Computer yangu ni 64bit. Ram 4gb, speed...
Nimejiuliza muda mrefu sababu ya msingi ya dada/mama zetu kujichubua na kutaka kupata rangi nyeupe nimekosa majibu, kwanza nikafikiri ili wapate wa kuwapenda lakini upande wa pili nikagundua hata wa kwenye ndoa nao wanafanya hivyo, lakini wakati wanapendwa au olewa hawakujichubua, naomba majibu...
Rejea kichwa cha habari, naomba mwenye ufahamu juu ya tofauti kati ya computer ya 32bit na 64bit, ingawa kwa sasa naona computer nyingi zinakuwa 64bit, je unaweza badili kutoka 64 to 32 bit.
Hivi vitu vyote hivi vinaenda pamoja yaani mwanamke yeyote hawezi kutolewa bikira bila kutoa damu wakati wa tendo la ndoa au ni propaganda tu. Mwenye ufahamu na uzoefu msaada.
Jambo hii nimeshindwa kupata ufumbuzi, ni ukweli usiopingika kuona baadhi ya familia zina watoto wazuri sana (afya, sura, maumbo na muonekano) lakini kuna baadhi unaweza sema kama mtoto ndio hawa bora nisiwe na mtoto, vitoto vibaya hata ufanye nini havipendezi, lakini kwa upande wangu naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.