hp or lenovo ukitaka kupotea zaidi nenda kanunue TOSHIBAmimi nina 600,000 nataka computer kwa kazi za kawaida tu
Mbona Dell hamuisemihp or lenovo ukitaka kupotea zaidi nenda kanunue TOSHIBA
Lenovo ina nini cha zaidi kiongozi!1.Lenovo
2.Hp
3.Mac/apple
4.dell
Serious au unatania? Mbona mimi najua haya ni mabovu?Lenovo ni best brand
Nina toshiba mwaka wa sita sasa,na watoto wanaitumia,haijawahi kunisumbuahp or lenovo ukitaka kupotea zaidi nenda kanunue TOSHIBA
mimi nina 600,000 nataka computer kwa kazi za kawaida tu
Lenovo ni best brand