Jamani, kwa yeyote anayejuwa kipindi chetu tajwa hapo juu kimekwenda wapi atueleze. Ni miezi kadhaa sasa siwapati kina Papa Tshim na Hassan Mbazigwa hewani, kunani?
Kuelekea siku kuu ya wapendanao wiki hii, mademu wengi sasa wamekuwa wanyonge. Yaani wengi wao wamekuwa wapole haswa wale wasio na boyfriends, walio wengi kwa sasa wanaokotwa tu kama kuku walio na mdondo.
Unatongoza asubuhi mchana unachapa kiulaini tena haulipi, imekuwa kama zamani. Wataalam...
Jamani kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema. Nimefika hapa Marekani toka jana ila nashindwa kupiga simu Tanzania kwa mke wangu kupitia Airtel. Simu yangu (Airtel) ina bando na pia ina hela zaidi ya laki 5, nimenunua kifurushi cha kimataifa (cha kupiga Marekani na Canada) lakini wapi...
Binafsi nachukizwa na tabia za washikaji wakitoka kujisaidia uchochoroni ama baa, mtu hajanawa na kuna probability kubwa pumbu zake si safi au kama kanya hajajichamba vizuri. Atarudi kukaa na akiona mshikaji anakuja kukupa mkono huku akikuachia bacteria zake. Huu ujinga jamani tuuache, lazima...
Nasema tujitafakari kwa sababu najiuliza: Hivi ni kweli kuwa idadi kubwa ya watanzania ni wapuuzi? Tujiulize, CCM imefanya nini cha maana katika nchi hii toka tumepata uhuru mpaka hapa tulikofikia? Umeme mpaka sasa ni kitendawili. Maji ndiyo kabisaaaaa. Mtu akiumwa kwenda hospitali dawa hakuna...
Hii nimetumiwa na ndugu yangu aishie jimbo la Texas huko Marekani. Wadau, kwanini waislam wanaandamwa kihivi? Japo mimi ni mkristo lakini vitu vingine dhidi ya waislam kwa kweli vimekuwa too much, yaani mpaka Parking wanakatazwa?
Kwenu wana JF pamoja nawe Mh. waziri wa afya mtarajiwa MziziMkavu, kuna mdada hapa JF anaitwa P....., ananisumbua sana na mapigo ya moyo kila nikimuwaza na niko mbali na yeye. Kwa kweli sina nia mbaya naye japo nina mtu wangu, nifanyeje ili anielewe nia yangu kwake? Kila nikimdokezea kuvuna...
Marahaba kwa wale walio wadogo kwangu na shikamoni wakubwa wangu wana JF members. Jamani kuna kitu kina nitatiza kidogo katika suala la heshima, uungwana, na privacy hapa Tanzania. Nauliza hivi kwa sababu simple common sense inaniambia kuwa nyumba ya kulala wageni pale unapochukua chumba, you...
Wana JF wenzangu, ebu angalieni mauza uza haya ya nchi yetu. Hivi kweli tuna utawala mathubuti hapa nchini? Yaani nchi inaibiwa kweupee na wajanja, kiongozi yuko bize na misafara isiyo na faida. Hapa habari imetolewa na CAG juu ya ufilisi wa hii nchi, sote tunajuwa hakutachukuliwa hatua yeyote...
Nimesoma hii habari leo hii na kukubaliana na mwandishi moja kwa moja. Naomba tuijadili hii habari jamani pengine kwa kufanya hivyo hawa wahusika watajirekebisha.
Is Tanzania becoming a Mafia state?
By Editor
24th March 2013
Editorial Cartoon...
Ni muda mrefu nilikuwa nasikia jamaa kwenye viglossary wakilalama juu ya nyota ya Diamond kuwa ni ngekewa. Wengine walithubutu kusema kuwa waha (wakazi na kabila la watu wa Kigoma) ndivyo walivyo, hawawezi kufanya kitu bila kuroga. Haya yote yalisemwa baada ya mwanamuziki fulani kulalamika kuwa...
Jamani, kumbe Zanzibar kuna matatizo zaidi ya muungano?
IPP MEDIA - 12/30/2012
For tourists, Zanzibar offers the perfect destination for a blissful getaway, but to prominent leaders like Roman Catholic Bishop for Zanzibar Diocese Dr Augustine Shao, the India ocean archipelago is just a safe...
Wanajamii wenzangu, hivi mmeshajiuliza kwanini watanzania tulio hapa nyumbani tunapenda sana kuongea kiingereza hata kama wengine hawajuwi hiyo lugha kisawasawa watajitahidi kuongea tu. Cha kushangaza watanzania wengi waishio nje ya nchi wakija hapa, wao ni Kiswahili tu tena hata hawatii neno la...
Nimesoma gazeti la Habari Leo na kukuta habari ya wanafunzi 44 waliofeli la 7 wako sekondari huko Mkoani Katavi. Hawa wanafunzi walifeli la 7 kwa sababu hawana akili za darasani, leo hii waje kwenda sekondari na chuo kikuu si tutapata viongozi dizaini ya waziri Muhongo hapa? Jamani kwa nini hivi...
Jamani kuna fununu zimetoka hivi punde juu ya Mbilikimo Aunt Ezekiel kufumaniwa hapo majuzi. Najuwa kwa sasa hapa Bongo limekuwa ni jambo la kawaida kwa walio wengi kutoka nje ya ndoa kwani imekuwa ni fashion. Kinachonishangaza ni kwamba ni majuzi tu hapa huyu mbilikimo kaolewa (milioni 80+) na...
Naomba kuuliza, hivi ni kwa nini ma dj wetu wanapenda kupromote vitu vya kijinga kama bongo fleva na kuubatiza kuwa muziki wetu? Kwa sasa karibia kila mmoja hapa Tanzania anajuwa kuwa huu muziki uko sampled (copied) from other artists, kinachofanywa tu ni kutia sauti na kutoa redioni. Kwa...
Kwa katiba yetu hiii mpya, ningependekeza kuwa na kipengele cha kunyongwa marais, mawaziri, makatibu wakuu, mameneja kwenye taasisi za serikali, na wabunge mara wakibainika na wizi madarakani ama kula rushwa. Kuwe na kipengele cha rais kushitakiwa na kufukuzwa kazi kwa manufaa ya umma pindi...
Baada ya kuangalia "The Great Migation" ya wanyama wanaotoka Serengeti kwenda Maasai Mara Kenya kukimbia ukame Tanzania, kwa kweli nimeshikwa na hasira. Kwa nini? Maasai Mara ni sehemu ndogo sana tena sana kulinganisha na Serengeti, ila TV za dunia zimehamia huko na kuitangaza Kenya as if...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.