A baby boy who looks like an 80-year-old man actually has a rare condition known as progeria,which causes him to age quickly and affects just one in four million people.
This baby Born in District Magura, Bangladesh, he has hollow eyes,a shrunken body, wrinkles and a thick layer of hair on his...
Wanamuziki wa Tanzania, Uganda na Kenya akiwemo Ali Kiba, Nandy, Bebe Cool na Nyanshiski ni miongoni mwa nyota 18 wa muziki walioteuliwa kuwania tuzo za All Africa Music Awards {AFRIMA} zinazotarajiwa kuandaliwa mnamo mwezi Novemba.
Wengine walioteuliwa ni pamoja Bebe Cool wa Uganda , Yemi...
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.
Ni katika ofisi za Halimashauri ya mji wa Muheza ambapo ofisi zake ni Giza totoro nyakati za Usiku huku makazi ya watu binafsi yakiwa na umeme.
Umeme ni kama means ya security nyakati za Usiku lakini hali ni tofauti katika hizi ofisi maana maafisa wa...
Mpaka kufikia Leo,Tanzania tuna awamu Tano za Marais wa Tanzania.
1. Awamu ya kwanza
JULIUS KAMBARAGE NYERERE (JKN)
2. Awamu ya pili
Ally Hassan Mwinyi
3. Awamu ya Tatu
Benjamin Wiliam Mkapa
4. Awamu ya nne
Jakaya mrisho Kikwete
5.Awamu ya Tano
JOHN Pombe Magufuli.
Katika awamu hizi tano...
.
Ndege mpya ya Askofu Gwajima aina ya Gulfstream N60983 (Business jet).
Ni ndege ya kisasa na ya kifahari iliyobuniwa nchini Marekani yenye uwezo wa kubeba abiria 8 hadi 10. Ina speed hadi kilomita 900 kwa saa (mara mbili ya Bombadier zetu). Ina uwezo wa kwenda hadi umbali wa kilomita 8,000...
Habari wanabodi. Nimeona threads ambazo zinazungumzia jinsi waganga wa kienyeji kutoka if wanavowatapeli members. Natumia dk 5 tu kuwapa siri ya wizi huu.
Kumbuka kuna waganga wataalamu kweli kweli na hawa waganga huwezi kuwapata mijini wakiwa wanakula good time. Waganga wa kweli wapo vijijini...
India woman kills father-in-law by 'squeezing his testicles until they burst’s
A woman has been accused of killing her father-in-law by squeezing his testicles during a row about a cockfight.
Police say victim Gau Kerketta dropped dead on the spot after his son's wife, Anima Kharia, lunged at...
Baraza la mawaziri chini ya uongozi wa Rais wa awamu ya Tano ya mhe. John Pombe Magufuli limekuwa kama imepigwa ganzi. Mawaziri hawasimami wao kama wao katika kusimamia wizara zao.
Mawaziri wanatoa "promising statements" kila kukicha ili tu zimfurahishe mhe Rais bila kujali kama...
"kibaya zaidi nimefikishwa kituoni centro RPC ananiambia una bahati tumekukamata asubuhi watu wanaonalakini ungekamatwa usiku MTU yoyote asione tungekupoteza" Anasimulia:Mdude Nyagari a.k.a. Sumu ya nyigu mnamo 18/4/2017.
Massa machache baada ya kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili kada...
Japo sijui hawa wanafunzi ni wa shule gani,ila wazuri kweli.
Kama wewe ungekuwa mwalimu,hii mizigo ungeiiacha kweli?.
Binafsi kila mmoja kwa nafasi tofauti ningeitafuta na kuikuna.
You All Have Heard Of Crazy Disease Like Ebola,And Swine Flu That Have Been Known To Spread Like Fire.But What About Those Rare ,Extreme And Strangest Medical Conditions.Of Thousands Of Medical Conditions We Picked Top 6 Strangest Medical Conditions .
(1)The Bark Skin Disease...
Katika hali isiyotarajiwa, baadhi ya wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Bukombe mkoani Geita juzi walikataa kupokea msaada wa vyakula na sabuni kama zawadi ya sikukuu ya Pasaka, badala yake wakaomba wapelekewe dawa na vifaa tiba.
Tukio hilo lililoacha gumzo lilitokea wakati...
Aliyekuwa Diwani wa CCM Manispaa ya Moshi, Gresta Sodoka amefikishwa mahakamani na TAKUKURU kwa tuhuma za kughushi vyeti vya elimu.
#Mwananchi.
My take: Mkuu wa Mkoa wa Dar anaogopwa kama ukoma. Takukuru siyo kwa MTU yeyote yule Bali wachache.
Afrika Kusini inaomboleza kifo cha Ontlametse Phalatse, msichana wa umri wa miaka 18 ambaye alikuwa anaishi na ugojwa unaojulikana kama Progeria, ambayo ni hali ya kimaumbile isiyo ya kawaida ambayo husababisha mtu kuzeeka kwa haraka.
Mwezi uliopita Ontlametse alisherehekea siku ya kuzaliwa na...
Mahakama ya mkazi Kisutu leo inatarajiwa kutoa uamuzi leo iwapo Watanzania watatu akiwemo Ally Khatibu Haji maarufu kama Shikuba - wanaotuhumiwa kwa kujihusisha na biashara dawa za kulevya watasafirishwa kwenda Marekani kujibu mashtaka yanayowakabili nchini humo au wataendelea kubaki nchini...
Wabana pua na vinyimbo vyao vya mapenzi wameshindwa kufurukuta katika kipindi hiki ambacho Mashabiki wako alerted na mambo ya kisiasa yanayoendelea nchini. Hali hii imewafanya washindwe kutoa ngoma zao ili kuepuka kubuma. Richmavoko amekili kuwa hali yao ni mbaya sana kimuziki na amesema haya...
Wimbo ni mistari ya mashairi siyo Melody wala umarufu wa mtu
Wimbo huu umekuja ki mkakati umekuja kulifanya jina la MAKONDA lijadiliwe
Liimbwe na media zilizomkataa, Dai kajilipua kumsaidia aliyekataliwa asikike
Ni akili kubwa imecheza ili tusiye mtaka arejee vinywani mwetu kupitia...
Taarifa ambazo zimethibitishwa na shirika la afya duniani zinasema kuwa kitendo cha mtu kuishi bila kuwa na mwenzi wake ni ulemavu. Taaria zaidi soma hapa: It’s Official: Being Single Is Now A Disability, WHO Confirmed
On October 2016, it was announced by the WHO(World Health Organization )...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.