Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,532
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.
Ni katika ofisi za Halimashauri ya mji wa Muheza ambapo ofisi zake ni Giza totoro nyakati za Usiku huku makazi ya watu binafsi yakiwa na umeme.
Umeme ni kama means ya security nyakati za Usiku lakini hali ni tofauti katika hizi ofisi maana maafisa wa mji kazi yao ni kujilipa posho Bila kazi maalumu waliyofanya.
Wahusika hamulioni au serikali haina pesa za kuweka japo umeme tu?
Hii aibu hakika inatia kinyaa.
Ni aibu kubwa mno kwa nchi yetu. Ni aibu kubwa sana kwa awamu ya Tano.
Kama tunataka serikali wa viwanda wakati hata ule umeme tu wa kutos
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni katika ofisi za Halimashauri ya mji wa Muheza ambapo ofisi zake ni Giza totoro nyakati za Usiku huku makazi ya watu binafsi yakiwa na umeme.
Umeme ni kama means ya security nyakati za Usiku lakini hali ni tofauti katika hizi ofisi maana maafisa wa mji kazi yao ni kujilipa posho Bila kazi maalumu waliyofanya.
Wahusika hamulioni au serikali haina pesa za kuweka japo umeme tu?
Hii aibu hakika inatia kinyaa.
Ni aibu kubwa mno kwa nchi yetu. Ni aibu kubwa sana kwa awamu ya Tano.
Kama tunataka serikali wa viwanda wakati hata ule umeme tu wa kutos
Sent using Jamii Forums mobile app