Mwenye Album Hiyo tafadhali naomba unipatie nyimbo za album hiyo
Mimi ninazo
1. Maria Saloma 2. Kaisiki 3.Alimwatusile pekee.
Naomba mwenyei nyimbo zingine za Abum hii anisaidie.
Sote tumeshuhudia namna msiba wa Ruge na sarakasi zake unavyo endelea. Binafsi naiona nguvu ya Media katika shughuli za msiba huu. Kumekuwa na hamasa kubwa ya watu juu ya msiba huu, hii naamini ni kutkana na msiba huu kufanya habari ya taifa kwa takriban wiki moja mpaka sasa. Kila kukicha...
Poleni sana Yanga na Hongereni sana Mnyama Simba.
Naomba nitoe maoni yangu kama mtanzania huru na ingawa ninayo timu yangu baina ya Simba au Yanga .
Hasa napenda kueleza juu ya mustakabali wa Yanga miaka kumi ijayo katika ulimwengu huu wa maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuna...
Huyu ni mshiriki wa ushindani la miss Rwanda 2019. Alianza kutikisa vichwa vya habari baada ya kuripotiwa kuwa binti pekee aliyejitokeza katika shindano hilo akiwa a imetokea kijijini na kutembelea kwa miguu imebaki wa kilomita kumi.
Akiwa njiani kuja katika usaili alipata ajali ya kujikwaa...
Bila kupoteza Muda nitaeleza mapungufu na maboresho katika wimbo huu.
1.Wimbo huu umetumika kama tangazo pia la kinywaji cha Mofaya ambapo mwanzo alikiba anawasiliana na mpezi wake kumpa miadi ya kutoka. Hapo mwanzo katika mawasiliano hayo alikiba hayuko imahaba yaani sio romantic, anaongea kwa...
Hii ni tathmini Binafsi.
Tukianzia tangu sakata la ushoga lilipo anza kisha kukolezwa na kuibuka kwa Dudu baya na KONKI yake.Hisia nyepesi ilikua ni muendelezo wa vita Kati ya Makonda na Clouds, hili lilimfanya Mange ambaye mara zote anaitetea Clouds kuingia mstari wa mbele kwanza kwa kumbomoa...
Tamasha la Wasafi Festival linaangaliwa na watu zaidi ya elfu kumi kwa wakati mmoja mpaka sasa saa nane usiku. Hii ni idadi ya wanao angalia kwa simu achilia mbali wanao sikiliza radio na kuangalia kupitia runinga.
Wataalamu wa takwimu mtupe Makadilio ya idadi ya watu wanao ifuatilia Wasafi...
Natoa salamu za heshima kwenu nyote wadau wa jukwaa hili pendwa. Mwaka 2016 niliomba ushauri humu na kusadiwa kuhusu kuagiza gari toka Japan na kufanikiwa kwa asilimia mia, nasema asanteni sana kwa mara nyingine.
Sasa nimerudi kwenu kuomba tena msaada wa ushauri wenu kuhusu namna ya kuagiza...
Jamani mimi ninanvyo ona ni kama ile amshaamsha ya Tamasha la fiesta inazidi kupoa kila mwaka. Nimejaribu kuangalia katika mitandao ili nisome comment za mashabiki, lakini naona hata wanaotoa comment wanazidi kupungua, Ni kama watu wanaona ni tamasha la kawaida au wamelizowea au sijui nini...
Habari wanajukwaa.
Katika pitapita zangu za mihangaiko nimekuwa nikifuatilia namna ya kupata Madini tajwa hapo juu. lengo langu ni kununua toka nje ya nchi kwa wachibaji wadogo kisha kuja kuuza hapa Tanzania au sehemu yoyote penye soko la uhakika na salama. Niliwahi kuwa nauza dhahabu kwa mfumo...
Baada ya kutulia na kusikiliza nyimbo za miamba hawa wawili toka pale Jiji la Kinshasa huko Jamuhuri ya Congo DR. Sasa ni rasmi huyu Mwamba Ferre anaMuziki wa kulevya sana. Pia nyimbo zake nyingi zina mafundisho sana hata kama anaimba mapenzi lakini inakua kwa namna ya mafunzo,
Kwa upande wa...
Habari wana bodi. Leo naanza mfululizo wa Masomo ambayo napenda tujadiliane pamoja. Kabla ya kwenda mbali napenda niwaeleze kuwa ninayo yaandika hapa ni mawazo yangu kutokana na uzowefu wangu. Kama kuna nadhalia zozote za kiuchumi na mengineyo ya darasani basi endelea nayo mimi sipo kupinga hayo...
Habari za wapambanaji wenzangu katika jukwaa hili.
Leo napenda tujadili kidogo juu ya hawa watu wanao jiita wahamasishaji wa biashara na ujasiriamali au kujiajiri. Binafsi nimekuwa nawafuatilia sana kuona kama naweza kupata chochote chenye kuweza inisaidia katika ujasiriamali au biashara lakini...
Huu ni mpambano wa teknolojia ya uchukuzi. Huku USA wakijivunia uvumbuzi/ubunifu wa bwana Elon Musk ambaye anakubalika sana kwa sasa duniani, Mtu huyu anafanya uvumbuzi mwingi wa kisayansi kama vile magari ya umeme, kusafirisha watu kwenda sayari ya mars kwa mfupi na linalo vitia zaidi ni...
Habari za leo wakuu.
Katika pitapita mitandaoni nimekupa na suala la kimoja huyu mwanamziki wa kind la website NIKI WAPILI kuwa na ndogo za kuwa Rais. Jambo hili limezua mjadala kwa wachangiaji ambapo wengi wao wamekejeli na kumbe za Sana. Binafsi sipendi kumbeza mtu mwenye kutamani kuwa katika...
Sote Watanzania tunashuhudia kiwango vya vijana wa timu ya mpira kwa vijana wa until wa miaka 17 au Serengeti Boys. Katika uchungu wangu kikosi cha sasa ni bora na kimesheheni vipaji pengine kuliko vikosi vya awali.
Jambo la kusikitisha ni kwamba vipaji hivi vitakwenda kupote kama ambavyo...
Chama cha upinzani hutarajiwa kuwa na katiba, dira na sera zilizo kamilifu sana kuliko chama tawala. Hii ni kwakuwa upinzani kujijenga katika msingi wa kuboresha yaliyo mapungufu ya chama tawala na serikali. Katika suala la ukomo wa uongozi tunapaswa kujiuliza kwa Chama kikuu cha upinzani. Ni...
Chama cha upinzani hutarajiwa kuwa na katiba, dira na sera zilizo kamilifu sana kuliko chama tawala. Hii ni kwakuwa upinzani kujijenga katika msingi wa kuboresha yaliyo mapungufu ya chama tawala na serikali. Katika suala la ukomo wa uongozi tunapaswa kujiuliza kwa Chama kikuu cha upinzani. Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.