Niki wa Pili kuwa rais itaendelea kuwa ndoto

Mzalendowadamu

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
218
318
Habari za leo wakuu.
Katika pitapita mitandaoni nimekupa na suala la kimoja huyu mwanamziki wa kind la website NIKI WAPILI kuwa na ndogo za kuwa Rais. Jambo hili limezua mjadala kwa wachangiaji ambapo wengi wao wamekejeli na kumbe za Sana. Binafsi sipendi kumbeza mtu mwenye kutamani kuwa katika hatua flani kwani kila mtu anatani kupiga hatua. HOJA yangu ni kwamba hili Suala limekuja ikiwa ni sikua chache tu nilikua namtafakari kijana huyu nankujiuliza maswali mengi. Kilicho nifanya namtafakari ni kutoka na namna amekua akipata nafasi katika majukwaa adimu Sana na amekua akiongea kama muhamasishaji tena kwa kujaribu kutoka falsafa zake katika mambo mbali mbali hasa mafanikio. Kwa namna amekua anapewa nafasi hizi imjenga taswira ya yeye kuonekana kama KIJANA WA TAIFA au KAKA WA TAIFA. Tafakari yangu ilienda mbali kidogo ili nisije nikawa katika kundi la wenye husuda. Nikajiuliza huyu ni nani? amefanya nini? Na kwanini ninamfahu? na maswali mengi mengi lakini nikawa napata majibu pia
1.Namjua kupitia kundi la Weusi lakini zaidi kama Ndogo wake na Msanii Niongee Joh Makini. Hapa nikagundua kuwa jina la kaka yake limemfanya kujulokana haraka maana sikumbuki msikitini wake akiwa pekeyake na kumtambulisha, au Mimi sio mfuatiliaji mzuri.
2.Pia nikakumbuka kuwa wanasema ndiye Msanii msomi zaidi ila pia sijaona akiitwa NIKI PhD, nikajua labda degree kazaa kazaa. Hili nalo likafanya namtafakari kama Msanii anaye aminika kuwa na akili maana ni kawaida kuonekana msomi ndiye mwenye akili. Pia ameonekana kuwa na hoja zinazo kubalika miongoni mwa wasanii wenzake na hili ni jambo jema tu kuwa na msaada kwa wengine.
3. Je, analipi la kuigwa na jamii yake, Kiukweli katika engo hii ni wazi kwamba pamoja na umaaeufu wake bado amekua wa tofauti kwa kuepuka kashfa za kijinga kama wenzake wengi.
4.Mafanikio ya kuigwa!? Hapa nikiri kwamba sijui mafanikio aliyo nayo nje ya mziki. Kimuziki nalo bado siioni kama amepiga hatua au kusaidia kundi lake kufika mbali kama ambavyo anajaribu kuivaa haiba ya mafanikio.

Pia nikajiuliza, hivi Tanzania hakuna vijana walio fanya Mambo Makubwa ya kuigwa na yanayo onekana ili wapewe fursa za kuwa Taswira ya vijana wa Taifa hili, ili pamoja na NIKI watoe hamasa kwa vijana. Nikazidi Suzana zaidi na kujiuliza kama kuwa maarufu ni kigezo cha kuwa msemaji tena kwa falsafa?

Leo Baada ya Kuona kuwa anandoto za kuwa Rais niliwaza kwa Maendeleo uleule kuwa Labda mialiko ya kuzungumza katika mihadhara mbali mbali ndio chanzo cha kujiona kwa Taswira hiyo?

Neno langu kwake ni kwamba kama anafikiri Urais utakuja kwa njia hizo, itaendelea kuwa ndoto na kama anahitaji iwe kweli basi atambue bado anamengi ya kufanya mbele yake.
 
Naona mmetoka twitter mmehamia huku sasa,kwa kauli ndogo tu ya kusema ana ndoto za kuwa rais,tena hata hakufafanua ana ndoto za kuwa rais wa nini tayari mapovu kama yote,tujifunze kuwa na subira wakuu,hasa kwa jambo ambalo halipo wazi,akiwageuka kuwa anataka kuwa rais wa WEUSI mtaficha wapi sura zenu,wabongo tuna matatizo ya mkumbo,hatujui kutafakari kabla ya kuamua kupayuka tu,shame!
 
kwa aina hii ya uandishi sitashangaa na aina ya mawazo uliyonayo. wanasema waingereza U CANT THINK BEYOND YOUR EDUCATION LEVEL hongera pia kwa kutoa la moyoni.
 
Kwani kuwa raisi ni dhambi?
Mkulu mwenyewe hakutarajia ila alijikuta tuu.
Sasa kinachokushangaza ww kwa Nikki ni kipi?
 
Habari za leo wakuu.
Katika pitapita mitandaoni nimekupa na suala la kimoja huyu mwanamziki wa kind la website NIKI WAPILI kuwa na ndogo za kuwa Rais. Jambo hili limezua mjadala kwa wachangiaji ambapo wengi wao wamekejeli na kumbe za Sana. Binafsi sipendi kumbeza mtu mwenye kutamani kuwa katika hatua flani kwani kila mtu anatani kupiga hatua. HOJA yangu ni kwamba hili Suala limekuja ikiwa ni sikua chache tu nilikua namtafakari kijana huyu nankujiuliza maswali mengi. Kilicho nifanya namtafakari ni kutoka na namna amekua akipata nafasi katika majukwaa adimu Sana na amekua akiongea kama muhamasishaji tena kwa kujaribu kutoka falsafa zake katika mambo mbali mbali hasa mafanikio. Kwa namna amekua anapewa nafasi hizi imjenga taswira ya yeye kuonekana kama KIJANA WA TAIFA au KAKA WA TAIFA. Tafakari yangu ilienda mbali kidogo ili nisije nikawa katika kundi la wenye husuda. Nikajiuliza huyu ni nani? amefanya nini? Na kwanini ninamfahu? na maswali mengi mengi lakini nikawa napata majibu pia
1.Namjua kupitia kundi la Weusi lakini zaidi kama Ndogo wake na Msanii Niongee Joh Makini. Hapa nikagundua kuwa jina la kaka yake limemfanya kujulokana haraka maana sikumbuki msikitini wake akiwa pekeyake na kumtambulisha, au Mimi sio mfuatiliaji mzuri.
2.Pia nikakumbuka kuwa wanasema ndiye Msanii msomi zaidi ila pia sijaona akiitwa NIKI PhD, nikajua labda degree kazaa kazaa. Hili nalo likafanya namtafakari kama Msanii anaye aminika kuwa na akili maana ni kawaida kuonekana msomi ndiye mwenye akili. Pia ameonekana kuwa na hoja zinazo kubalika miongoni mwa wasanii wenzake na hili ni jambo jema tu kuwa na msaada kwa wengine.
3. Je, analipi la kuigwa na jamii yake, Kiukweli katika engo hii ni wazi kwamba pamoja na umaaeufu wake bado amekua wa tofauti kwa kuepuka kashfa za kijinga kama wenzake wengi.
4.Mafanikio ya kuigwa!? Hapa nikiri kwamba sijui mafanikio aliyo nayo nje ya mziki. Kimuziki nalo bado siioni kama amepiga hatua au kusaidia kundi lake kufika mbali kama ambavyo anajaribu kuivaa haiba ya mafanikio.

Pia nikajiuliza, hivi Tanzania hakuna vijana walio fanya Mambo Makubwa ya kuigwa na yanayo onekana ili wapewe fursa za kuwa Taswira ya vijana wa Taifa hili, ili pamoja na NIKI watoe hamasa kwa vijana. Nikazidi Suzana zaidi na kujiuliza kama kuwa maarufu ni kigezo cha kuwa msemaji tena kwa falsafa?

Leo Baada ya Kuona kuwa anandoto za kuwa Rais niliwaza kwa Maendeleo uleule kuwa Labda mialiko ya kuzungumza katika mihadhara mbali mbali ndio chanzo cha kujiona kwa Taswira hiyo?

Neno langu kwake ni kwamba kama anafikiri Urais utakuja kwa njia hizo, itaendelea kuwa ndoto na kama anahitaji iwe kweli basi atambue bado anamengi ya kufanya mbele yake.
Msikilize anavyoimba PUMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA !!!!!!!!!!!!!!


Huyu ni mmoja wa watu wenye akili ndogoooooooooooooooo, lakini wanajichukulia MAGENIOUS !!!

Wengine wa aina hii ni

Kigwangalla, MWIGULU, magu na BONTA. (( Hawa ni watanzania wenye UWEZO Mdogoooo lakini wanafosi kila namana waonekane akili kubwaaaaaaaaaaaaaa
 
Habari za leo wakuu.
Katika pitapita mitandaoni nimekupa na suala la kimoja huyu mwanamziki wa kind la website NIKI WAPILI kuwa na ndogo za kuwa Rais. Jambo hili limezua mjadala kwa wachangiaji ambapo wengi wao wamekejeli na kumbe za Sana. Binafsi sipendi kumbeza mtu mwenye kutamani kuwa katika hatua flani kwani kila mtu anatani kupiga hatua. HOJA yangu ni kwamba hili Suala limekuja ikiwa ni sikua chache tu nilikua namtafakari kijana huyu nankujiuliza maswali mengi. Kilicho nifanya namtafakari ni kutoka na namna amekua akipata nafasi katika majukwaa adimu Sana na amekua akiongea kama muhamasishaji tena kwa kujaribu kutoka falsafa zake katika mambo mbali mbali hasa mafanikio. Kwa namna amekua anapewa nafasi hizi imjenga taswira ya yeye kuonekana kama KIJANA WA TAIFA au KAKA WA TAIFA. Tafakari yangu ilienda mbali kidogo ili nisije nikawa katika kundi la wenye husuda. Nikajiuliza huyu ni nani? amefanya nini? Na kwanini ninamfahu? na maswali mengi mengi lakini nikawa napata majibu pia
1.Namjua kupitia kundi la Weusi lakini zaidi kama Ndogo wake na Msanii Niongee Joh Makini. Hapa nikagundua kuwa jina la kaka yake limemfanya kujulokana haraka maana sikumbuki msikitini wake akiwa pekeyake na kumtambulisha, au Mimi sio mfuatiliaji mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nick ni msomi kuliko jiwe mwenye PhD ya kuungaunga (ya Ben Sa8).Hivyo anaweza kuwa rais bora
 
Unapohoji msanii, ambaye kazi yake ni kutengeneza taswira bandia, kutengeneza taswira bandia,wewe ndiye unakuwa unatengeneza taswira bandia kwamba msanii anayetegemewa kutengeneza taswira bandia hatakiwi kutengeneza taswira bandia.

Umeelewa?
 
Msikilize anavyoimba PUMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA !!!!!!!!!!!!!!


Huyu ni mmoja wa watu wenye akili ndogoooooooooooooooo, lakini wanajichukulia MAGENIOUS !!!

Wengine wa aina hii ni

Kigwangalla, MWIGULU, magu na BONTA. (( Hawa ni watanzania wenye UWEZO Mdogoooo lakini wanafosi kila namana waonekane akili kubwaaaaaaaaaaaaaa
Bonta ana akili sana usimuweke kundi moja na hao mapang'ang'a.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mmetoka twitter mmehamia huku sasa,kwa kauli ndogo tu ya kusema ana ndoto za kuwa rais,tena hata hakufafanua ana ndoto za kuwa rais wa nini tayari mapovu kama yote,tujifunze kuwa na subira wakuu,hasa kwa jambo ambalo halipo wazi,akiwageuka kuwa anataka kuwa rais wa WEUSI mtaficha wapi sura zenu,wabongo tuna matatizo ya mkumbo,hatujui kutafakari kabla ya kuamua kupayuka tu,shame!
Hili nalo nalo lnawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za leo wakuu.
Katika pitapita mitandaoni nimekupa na suala la kimoja huyu mwanamziki wa kind la website NIKI WAPILI kuwa na ndogo za kuwa Rais. Jambo hili limezua mjadala kwa wachangiaji ambapo wengi wao wamekejeli na kumbe za Sana. Binafsi sipendi kumbeza mtu mwenye kutamani kuwa katika hatua flani kwani kila mtu anatani kupiga hatua. HOJA yangu ni kwamba hili Suala limekuja ikiwa ni sikua chache tu nilikua namtafakari kijana huyu nankujiuliza maswali mengi. Kilicho nifanya namtafakari ni kutoka na namna amekua akipata nafasi katika majukwaa adimu Sana na amekua akiongea kama muhamasishaji tena kwa kujaribu kutoka falsafa zake katika mambo mbali mbali hasa mafanikio. Kwa namna amekua anapewa nafasi hizi imjenga taswira ya yeye kuonekana kama KIJANA WA TAIFA au KAKA WA TAIFA. Tafakari yangu ilienda mbali kidogo ili nisije nikawa katika kundi la wenye husuda. Nikajiuliza huyu ni nani? amefanya nini? Na kwanini ninamfahu? na maswali mengi mengi lakini nikawa napata majibu pia
1.Namjua kupitia kundi la Weusi lakini zaidi kama Ndogo wake na Msanii Niongee Joh Makini. Hapa nikagundua kuwa jina la kaka yake limemfanya kujulokana haraka maana sikumbuki msikitini wake akiwa pekeyake na kumtambulisha, au Mimi sio mfuatiliaji mzuri.
2.Pia nikakumbuka kuwa wanasema ndiye Msanii msomi zaidi ila pia sijaona akiitwa NIKI PhD, nikajua labda degree kazaa kazaa. Hili nalo likafanya namtafakari kama Msanii anaye aminika kuwa na akili maana ni kawaida kuonekana msomi ndiye mwenye akili. Pia ameonekana kuwa na hoja zinazo kubalika miongoni mwa wasanii wenzake na hili ni jambo jema tu kuwa na msaada kwa wengine.
3. Je, analipi la kuigwa na jamii yake, Kiukweli katika engo hii ni wazi kwamba pamoja na umaaeufu wake bado amekua wa tofauti kwa kuepuka kashfa za kijinga kama wenzake wengi.
4.Mafanikio ya kuigwa!? Hapa nikiri kwamba sijui mafanikio aliyo nayo nje ya mziki. Kimuziki nalo bado siioni kama amepiga hatua au kusaidia kundi lake kufika mbali kama ambavyo anajaribu kuivaa haiba ya mafanikio.

Pia nikajiuliza, hivi Tanzania hakuna vijana walio fanya Mambo Makubwa ya kuigwa na yanayo onekana ili wapewe fursa za kuwa Taswira ya vijana wa Taifa hili, ili pamoja na NIKI watoe hamasa kwa vijana. Nikazidi Suzana zaidi na kujiuliza kama kuwa maarufu ni kigezo cha kuwa msemaji tena kwa falsafa?

Leo Baada ya Kuona kuwa anandoto za kuwa Rais niliwaza kwa Maendeleo uleule kuwa Labda mialiko ya kuzungumza katika mihadhara mbali mbali ndio chanzo cha kujiona kwa Taswira hiyo?

Neno langu kwake ni kwamba kama anafikiri Urais utakuja kwa njia hizo, itaendelea kuwa ndoto na kama anahitaji iwe kweli basi atambue bado anamengi ya kufanya mbele yake.
Bandiko lote hili ni kwasababu niki kasema ana ndoto?

Hakuna asiye na ndoto kuwa rais bwana. Japo wengi wetu hatuwezi kusema hadharani kwasababu huenda tunahofia kuchekwa kulingana na background za familia zetu.

Pia, sioni ubaya kwa mtu kuelezea ndoto zake. Maana mimi huwa nasema, "ifanye ndoto yako kuwa fursa" ili ndoto iwe fursa, lazima ufuate kanuni. Naamini kama jamaa ana ndoto ya kuwa rais na akaifanya kuwa fursa, basi atakua tu. Maana hakuna wa kumpinga mwanadamu kipindi aamuwapo kuifanya ndoto kuwa fursa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom