Habari za majukumu great thinkers?
Kuna hii shida kwenye website ya TADB ambayo ni zaidi ya mwezi mzima sasa, kila nikijaribu kuingia upande wa careers inaleta majibu kwamba kuna critical error kwenye website. Ila cha ajabu ni kwamba vipengele vingine vyote vipo sawa na hakuna shida yoyote...
Mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Mbwana Samata anayecheza soka la kulipwa nchini Belgium emerejea katika ubora wake baada ya leo hii kuifungia magoli mawili timu yake ya Genk dhidi ya Sporting Charleroi katika ligi kuu ya nchi hiyo maarufu kama First Division A. Timu ya Genk ukiibuka washindi...
Man U wamelazimishwa wamtangaze bingwa mapema japo walikuwa wanabisha na hawataki. Hii ni baada ya kupokea kipigo cha goli moja kwa bila wakiwa nyumbani Old Trafford kutoka kwa West Brom Albion .
Hii inawafanya kuwa nyuma kwa point 16 dhidi ya Man City huku wote wakiwa wamesalia na mechi tano...
Wasalaam wana jf.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Inahitajika Toyota Land Cruiser Hard Top iliyo katika hali nzuri. Iwe full AC plus Airbag. Iwe macho ya panzi. Kwa mwenye nayo au anafahamu inapopatikana aje PM pls.
NB: Maana ya kuulizia jf ni kwamba inahitajika iliyokwishatumika...
Habari za Jumamosi wanajamvi,
Tafadhali mwenye ufahamu wa masuala ya usalama barabarani naomba anieleweshe kuhusiana na hili.
Alfajiri ya leo nikiwa namsindikiza ndugu yangu stand kuu ya mabasi Arusha, nilisimamishwa na askari wa usalama maeneo ya USA River, akakagua kigari changu premio then...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, abiria ambao ilikuwa wa safari na ndege ya kampuni ya fastjet flight number FN0154 saa sita kasoro robo (11:45) wameshindwa kuondoka kwa wakati. Hivyo safari yao imepelekwa mbele mpaka sana tisa na dakika hamsini (3:45). Hakuna taarifa yoyote iliyotolewa na...
Tanzanian showbiz couple Diamond Platnumz and Zari Hassan have reportedly broken up.
This is after the Ugandan socialite deleted all the photos she had taken with Diamond.
Diamond had over the past month admitted to cheating on Zari.
The fairy-tale love story of Tanzanian showbiz couple...
habari wana jf.. katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na hii story nikaona sio mbaya kushare na wana jf.. so atakayeweza kuwa na muda wa kutosha ikupitiia basi apate elimu... kitu attached..
Habari zenu wanajamvi...
Pia samahani kwa wale mtakaokwazika na uzi huu. Hakika ni jambo lisilofichika kwamba kwa sasa hv watanzania wameamka na kufahamu umuhimu wa elimu kuliko kipindi chote toka tumepata uhuru thats why hata vyuo vya elimu ya juu vimeongezeka maradufu ndani ya miaka 10-15 hv...
kuna jamaa mmoja alikuwa ameoa na ana mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka minne.. kutokana na ugumu wa maisha jamaa alikuwa amepanga chumba kimoja uswazi hivyo ili kuepuka ufinyu wa chumba jamaa aliamua kutengeneza kitanda cha double deck,yeye akilala juu na mkewe na mtoto wao akilala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.