How My Dad Pablo Escobar Escaped His Own Prison

How My Dad Pablo Escobar Escaped His Own Prison

pangalashaba

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2011
Posts
1,325
Reaction score
1,615
habari wana jf.. katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na hii story nikaona sio mbaya kushare na wana jf.. so atakayeweza kuwa na muda wa kutosha ikupitiia basi apate elimu... kitu attached..
 

Attachments

Uongo mtupu how can you escape from prison of your puppet Master, and get killed like no body bussiness, Biashara ya Madawa ni endelevu kwa watu wenye nafasi ktk ulimwengu wa Kwanza! ilifanyika na itafanyika! mpaka Yesu aje!!!

Escobar ni mzimaaa na yupo live anakula Bata aliyeuawa ni mwingine kabisa tu kajamba nani na aliandaliwa kufa bila yeye kujua. Akili za kimagharibi zionega hivohivo km huja china utanambia! Ukifanyaaaa yao weee! unafika mahali wanakwambia acha katulie sehemu! tuachie sisi hii imetosha! Mobutu walimwambia ila kiburi cha mafanikio kikamponza!

Kabla ya kufanya kitu na mzungu jiulizege hawa watu!!

Joseh Konyi yuko wapi? USA ilimshindwa kweli? si ilishirikiana na SERkali ya Uganda kumsaka? uliwahi sikia mrejesho?

Carlos the wakal Jackal yuko wapi? Anakula bata si kawaida.

Kabila mdogo yuko wapi?

Savimbi, Mobutu, Idd amin walijifanya wajanja kuliko wao walicho kipata kila mtu anajua!

Xuma

Adolf Hitre Baba lao! unadhani hawakujua yuko wapi? Joseph Mengele alijua janja ya huyu bwana mbona alijitokeza?

Mugabe walimhurumia na kupunguza kasi yao ya ufanyishaji!

Hisen Habre nk kilichompata wooote humu mnajua.

Suleiman Rushdie yuko wapi kimyaaaaaa! na alitumiwa na wao!! aliye panga kumuua kafa yeye kifo kibaya.

Usichezee wanasiasa wa Dunia wako smart sana kijana!! tena mnoo! wanaweza kukufanya uka jipinga kuwa wewe siyo mtu, na ikawa hivo! utashindwa kunywa mimaji bureee!!
 
Uongo mtupu how can you escape from prison of your puppet Master, and get killed like no body bussiness, Biashara ya Madawa ni endelevu kwa watu wenye nafasi ktk ulimwengu wa Kwanza! ilifanyika na itafanyika! mpaka Yesu aje!!!

Escobar ni mzimaaa na yupo live anakula Bata aliyeuawa ni mwingine kabisa tu kajamba nani na aliandaliwa kufa bila yeye kujua. Akili za kimagharibi zionega hivohivo km huja china utanambia! Ukifanyaaaa yao weee! unafika mahali wanakwambia acha katulie sehemu! tuachie sisi hii imetosha! Mobutu walimwambia ila kiburi cha mafanikio kikamponza!

Kabla ya kufanya kitu na mzungu jiulizege hawa watu!!

Joseh Konyi yuko wapi? USA ilimshindwa kweli? si ilishirikiana na SERkali ya Uganda kumsaka? uliwahi sikia mrejesho?

Carlos the wakal Jackal yuko wapi? Anakula bata si kawaida.

Kabila mdogo yuko wapi?

Savimbi, Mobutu, Idd amin walijifanya wajanja kuliko wao walicho kipata kila mtu anajua!

Xuma

Adolf Hitre Baba lao! unadhani hawakujua yuko wapi? Joseph Mengele alijua janja ya huyu bwana mbona alijitokeza?

Mugabe walimhurumia na kupunguza kasi yao ya ufanyishaji!

Hisen Habre nk kilichompata wooote humu mnajua.

Suleiman Rushdie yuko wapi kimyaaaaaa! na alitumiwa na wao!! aliye panga kumuua kafa yeye kifo kibaya.

Usichezee wanasiasa wa Dunia wako smart sana kijana!! tena mnoo! wanaweza kukufanya uka jipinga kuwa wewe siyo mtu, na ikawa hivo! utashindwa kunywa mimaji bureee!!
Na vipi una lolote kuhusu Osama bin Laden na yale tunayoaminishwa?
 
Na vipi una lolote kuhusu Osama bin Laden na yale tunayoaminishwa?
Conspiracy theories !! ndo siraha yao kubwa sana wanaitumia! kwanza walimtengeza wao wenyewe ajili ya kuvuruga nchi za kiarabu! unadhani kwa akili ya kawaida tu watamuua mtu wao? walio muandaa kwa miaka mingi na gharama? yule sasa hivi anakula Pensheni!?

Jiulize swali rahisi tu kwa nini wamzike kwa kificho vile? Osama alipata wapi hayo maujanja ya kutumia Ma mbinu ya kijeshi hivo na siraha? Bush family wanajua mwanzo mwisho siyo siri ya kila m USA.

Global Elites wana mipango ya miaka 50 mbele sisi Africa ndo tunaishi km mbuzi mara lisu mara jiwe kanipuuzi!
 
Conspiracy theories !! ndo siraha yao kubwa sana wanaitumia! kwanza walimtengeza wao wenyewe ajili ya kuvuruga nchi za kiarabu! unadhani kwa akili ya kawaida tu watamuua mtu wao? walio muandaa kwa miaka mingi na gharama? yule sasa hivi anakula Pensheni!?

Jiulize swali rahisi tu kwa nini wamzike kwa kificho vile? Osama alipata wapi hayo maujanja ya kutumia Ma mbinu ya kijeshi hivo na siraha? Bush family wanajua mwanzo mwisho siyo siri ya kila m USA.

Global Elites wana mipango ya miaka 50 mbele sisi Africa ndo tunaishi km mbuzi mara lisu mara jiwe kanipuuzi!
Ahsante sana mkuu! Nimeelewa vema
 
habari wana jf.. katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na hii story nikaona sio mbaya kushare na wana jf.. so atakayeweza kuwa na muda wa kutosha ikupitiia basi apate elimu... kitu attached..
Nilovyosoma title tu nikamkumbuka escobar wa narcoa mexico
 
Uongo mtupu how can you escape from prison of your puppet Master, and get killed like no body bussiness, Biashara ya Madawa ni endelevu kwa watu wenye nafasi ktk ulimwengu wa Kwanza! ilifanyika na itafanyika! mpaka Yesu aje!!!

Escobar ni mzimaaa na yupo live anakula Bata aliyeuawa ni mwingine kabisa tu kajamba nani na aliandaliwa kufa bila yeye kujua. Akili za kimagharibi zionega hivohivo km huja china utanambia! Ukifanyaaaa yao weee! unafika mahali wanakwambia acha katulie sehemu! tuachie sisi hii imetosha! Mobutu walimwambia ila kiburi cha mafanikio kikamponza!

Kabla ya kufanya kitu na mzungu jiulizege hawa watu!!

Joseh Konyi yuko wapi? USA ilimshindwa kweli? si ilishirikiana na SERkali ya Uganda kumsaka? uliwahi sikia mrejesho?

Carlos the wakal Jackal yuko wapi? Anakula bata si kawaida.

Kabila mdogo yuko wapi?

Savimbi, Mobutu, Idd amin walijifanya wajanja kuliko wao walicho kipata kila mtu anajua!

Xuma

Adolf Hitre Baba lao! unadhani hawakujua yuko wapi? Joseph Mengele alijua janja ya huyu bwana mbona alijitokeza?

Mugabe walimhurumia na kupunguza kasi yao ya ufanyishaji!

Hisen Habre nk kilichompata wooote humu mnajua.

Suleiman Rushdie yuko wapi kimyaaaaaa! na alitumiwa na wao!! aliye panga kumuua kafa yeye kifo kibaya.

Usichezee wanasiasa wa Dunia wako smart sana kijana!! tena mnoo! wanaweza kukufanya uka jipinga kuwa wewe siyo mtu, na ikawa hivo! utashindwa kunywa mimaji bureee!!
Hujafuatilia vyema stori za Joseph Kony.

Yule jamaa wanasema anatumia nguvu za ziada katika kufanya mambo yake.

Ingawa wanasema ni mgonjwa lakini bado anawafuasi kama 200 hivi ambao anakua nao na wanamlinda, anakua anamove baina ya misitu ya Uganda na sudan.

Kuna kikosi maalum cha wanajeshi wa Uganda wenye ujuzi wa kusoma movement za mtu ila mpaka sasa hawajafanikiwa kumpata, kila wakimkaribia unakuta alishaondoka eneo hilo muda mchache uliopita .

Ingawa hawajachoka kumtafuta ila kumkamata sio rahisi labda azidiwe na ugonjwa wake alio nao na kuwa dhaifu au itokee kutokuelewana yeye na kikundi chake hicho cha vijana wake aliobakia nao.
 
Hujafuatilia vyema stori za Joseph Kony.

Yule jamaa wanasema anatumia nguvu za ziada katika kufanya mambo yake.

Ingawa wanasema ni mgonjwa lakini bado anawafuasi kama 200 hivi ambao anakua nao na wanamlinda, anakua anamove baina ya misitu ya Uganda na sudan.

Kuna kikosi maalum cha wanajeshi wa Uganda wenye ujuzi wa kusoma movement za mtu ila mpaka sasa hawajafanikiwa kumpata, kila wakimkaribia unakuta alishaondoka eneo hilo muda mchache uliopita .

Ingawa hawajachoka kumtafuta ila kumkamata sio rahisi labda azidiwe na ugonjwa wake alio nao na kuwa dhaifu au itokee kutokuelewana yeye na kikundi chake hicho cha vijana wake aliobakia nao.
Teteee! tee! te! wacha hizo dogo! unajua aliye wazika wazazi wa Konyi? na jumba la kifahari walilo jengewa hao wazazi wa Konyi unamjua!!!

Mojawapo ya Corona sate lights spy! ya USA inaweza kuona mpaka sindano iliyoanguka ardhini chini kulee Salasala sembuse Joseph Konyi na midevu yake? hivyo vinjia vya ndani ya Lugalo Camp vinaonekana vizuri kuliko mtu aliye Lugalo humo!! siasa ni mchezo mchafu sana usijaribu!!!!
 
Back
Top Bottom