Tarehe kama ya leo, mwezi wa kwanza, mwaka 2011 (6th Jan 2011), Nilipata fursa ya kujiunga na Jamii Forums. Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kudumu humu jamvini mpaka sasa ..
SABABU YA KUJIUNGA
Habari za SIASA motomoto nilizokuwa nikizipata miaka ile kwenye JAMBO FORUMS, ndizo zilikuwa chachu...
Nawasalimu wanaJF kwa upendo ..
Leo mida ya saa nne hivi asubuhi, tumepata mgeni wa kushtukiza ofisini (BUBU).. Mgeni huyu kwa njia anazojua yeye,alibahatika kumdanganya mlinzi(mzembe) na kuruhusiwa kuingia moja kwa moja mjengoni.
Huyu jamaa ni pande la mtu, kavaa smart sana na ni mtu...
Ndugu zangu naombeni msaada wa haraka,na ushauri namna ya kudeal na huyu mtu mwenye hii namba..
Kanipigia kwenye namba yangu ya Voda asubuhi sana ,sauti ya mwanadada(ila ana claim kuwa ni mwanaume), akaniuliza kama mimi ni ndugu na somebody Abubakari,nikamwambia hapana ni wrong number...
Wapendwa,Nimeona nichukue nafasi hii,kuwataarifu kwamba natoka nje ya JIJI kidogo!!Natoka kwenye JIJI nakwenda JIJI lingine(DAR)!! Filipo my hubby,be good,I will miss you sana Erickb52 Arushaone LiverpoolFC ,@Blaki Woman Mzee wa Rula ,mke mwenza sweetlady Preta kwa kweli ntawamiss...
In the Journal of my heart,
I have written a Journal Entry,
Debiting my love & crediting my affection,
Now Filipo my hubby, you write the Narration.
Your love, is the Capital of our business,
And your voice,eyes are Stock In Trade,
Now let us enter into a Transaction,
Without providing...
Taarifa zilizinifikia muda si mrefu,
Wanakijiji wamefunga njia baada ya Taqwa kugonga mtu karibu na Makambako.Nimeambiwa labda jeshi liende ndio magari yatapita.
Kuna message nimetumiwa muda si mrefu,nimeona nilete hapa JF Doctor angalau mwenye kujua zaidi atupatie somo!!
SMS
Kuna ugonjwa wa tumbo umeingia kwa watoto age between 1 to 5yrs and even to 10 yrs na hospital zote hapa hawaujui.
Watoto wawili wa kike waliokua wanasoma na mwanangu...
Kutokana na yaliyoendelea bungeni,imenilazimu kujiuliza maswali mengi!
Tarehe 1/5/2012 ni sikukuu ya Wafanyakazi !Je, Serikali pamoja na kuwa na deni la trilioni 14,watathubutu kukopa tena kuadhimisha siku hii?
Kutakuwa na ulazima gani wa kusherekea siku hii wakati wananchi wana majeraha...
Nimeshtuka usingizini,baada ya simu yangu kutoa mlio kuashiria kwamba nimetumiwa message(sms).
Kufungua sms,imetoka vodacom kwenye number 15500 inasema ''Fabrice Muamba wa Bolton Wanderer,bado yupo mahututi baada ya kuzimia katika robo fainali la kombe la Uingereza dhidi ya Tottenham"...
Padri alipotea mjini center, akamuambia kijana mmoja, naomba unifahamishe posta ilipo, kijana akamfahamisha mpaka akapajua.
Padri akamjibu asante kwa kunionesha njia na wewe njoo kanisani nikuoneshe njia ya peponi,
Kijana akamwambia, imekushinda ya posta ukaijue ya peponi?
Mtumishi wa MUNGU mmoja akiwa kwenye gari alisimamishwa na Trafic Police,police
akiwa anahitaji rushwa alianza kuuliza maswali mengi, mara mbona
gari lako linatoa moshi mwingi? mbona gari lako matairi yameisha,
hatimaye polisi akamuamuru padre waende nae kituoni.
Njiani polisi alimuuliza ...
Kwa waliofanikiwa kuangalia TBC,dhehebu la Siloamu washerekea Kuzaliwa kwa Bwana Yesu Leo!!
Pia kutokana na unabii waliopata,leo wanaingia rasmi majira mapya, pia nimepata taarifa hata siku ya ibada itabadilika!
Badala ya kusali jumapili na kuungana na wakristo wengine ulimwenguni,wao watakuwa...
Sala Kuu:
MOSHI: Mungu Onyesha Sehemu Hela Iko   
Viitikio:
1. Hata Ikipungua Mungu Ongeza! (HIMO)
2. Mungu Angalia RAia NGawira Utuhakikishie! (MARANGU)
3. Mungu Ahidi Mapesa Bila Ajira! (MAMBA)
4. Mungu Wekeza Ishara Kwenye Akaunti!(MWIKA)
5. Kristu Imarisha Leo Elimu na...
Waziri wa Romania amejiuzulu baada ya wananchi kuandamana,kutokana na Uchumi kuzorota !
Wananchi walitishwa ili wasitishe mgomo lakini waliendelea na mgomo wao umezaa matunda!
Sisi tunasubiri nini kuhusu huyu waziri wa afya?
Source TBC fm
Petrol bei juu!
"Umeme hali kadhalika"
Kodi za nyumba balaa,
Mchele na Nyama usiseme!
Makanisani sadaka juu wanataka noti sio sarafu!
Mahari nazo hatari, School fees utadhani unanunua shule, Nauli ya kivukoni juu, mabasi ndo balaa!
Je hii ndiyo HAPPY NEW YEAR uliyo nitakia 2012 au HEAVY...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.