Siloamu ministry washerekea christmas leo

marejesho

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
6,635
3,655
Kwa waliofanikiwa kuangalia TBC,dhehebu la Siloamu washerekea Kuzaliwa kwa Bwana Yesu Leo!!
Pia kutokana na unabii waliopata,leo wanaingia rasmi majira mapya, pia nimepata taarifa hata siku ya ibada itabadilika!
Badala ya kusali jumapili na kuungana na wakristo wengine ulimwenguni,wao watakuwa wanaabudu siku ya Jumanne!!
Wao jpili itakuwa ni siku ya kawaida tu!!
Sasa waajiri wataanza kupata excuses kutoka kwa wafanyakazi wao wanaosali Siloamu, maana watakuwa ibadani!!
Je,hii ni sahihi? Kama mwanafunzi anasali huko,ina maana hatahudhuria vipindi siku zote za jnne?
Mungu atusaidie!!
 
You get them wrong dude,chrismass yao ni tarehe 28 february,instead of tarehe 25 december.Hawasali jumanne,its jumapili like other christians..ila it depends that tarehe 28 feb.itaangukia lini..but they praise on sundays like other christians.
 
You get them wrong dude,chrismass yao ni tarehe 28 february,instead of tarehe 25 december.Hawasali jumanne,its jumapili like other christians..ila it depends that tarehe 28 feb.itaangukia lini..but they praise on sundays like other christians.

Marida!I just got the information from someone anayesali pale!!Labda wabadilishe,ila walitangaziwa church kuhusu haya mabadiliko!!
Anyway,Sunday sio mbali,we just have to wait and see!!
 
Marida!I just got the information from someone anayesali pale!!Labda wabadilishe,ila walitangaziwa church kuhusu haya mabadiliko!!
Anyway,Sunday sio mbali,we just have to wait and see!!

THE NEWS IS,WANASALI JUMAPILI,NOT JUMANNE AS U SAID.Even you kama ni mkristo pasaka or chrismass inaweza kuangukia jumatatu au jumanne,but it doesn't mean that utakuwa unasali those days..ILa jumapili tu.
 
mi nilipenda ile sauti ya bass ya mchungaji wao ELISHA ELIA.
Ongea hili neno kwa ile bass yao inayo toka kooni "bwana asifiwe".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom