marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Kutokana na yaliyoendelea bungeni,imenilazimu kujiuliza maswali mengi!
Tarehe 1/5/2012 ni sikukuu ya Wafanyakazi !Je, Serikali pamoja na kuwa na deni la trilioni 14,watathubutu kukopa tena kuadhimisha siku hii?
Kutakuwa na ulazima gani wa kusherekea siku hii wakati wananchi wana majeraha mioyoni mwao?
Wabunge ambao ndio wawakilishi wao,wamedharauliwa mchana kweupe!!!!
Nimekumbuka mambo ya mbayuwayu,nikasikia uchungu sana!Mwaka jana,wafanyakazi waliambiwa itachukua miaka mingi sana kwa Serikali kuweza kulipa kima cha
chini cha 350,000/ kwa mtu mmoja!Sasa wafanyakazi hawa wanagundua kwamba Serikali ilikuwa na uwezo wa kuwalipa hata zaidi ya laki 5 kwa mtu mmoja kama fedha za wizara moja tu zisingeibwa na mawaziri!
Hivi kweli,mwananchi ambaye analipwa laki na nusu,ataenda uwanjani kupiga makofi?Ili iweje?Mchele,sukari,mafuta ya kupika,unga,sabuni,mafuta ya kujipaka,kuni,mkaa,gas,umeme,maji vyote vimepanda bei kutokana na watu wachache walioaminiwa wakaamua kuwasaliti wananchi!!
Mfanyakazi huyu kwake maisha yamekuwa machungu na ndio maana wanafanya alimradi liende tu!!
Tegemeo lake,lilizimia mwaka jana(TUCTA)!!Je,watafufuka tarehe moja!!!!!!!
I am crossing my fingers ili nisisikie kwamba hizi sherehe zikitangazwa kwamba zitakuwepo tarehe moja!!!
Tarehe 1/5/2012 ni sikukuu ya Wafanyakazi !Je, Serikali pamoja na kuwa na deni la trilioni 14,watathubutu kukopa tena kuadhimisha siku hii?
Kutakuwa na ulazima gani wa kusherekea siku hii wakati wananchi wana majeraha mioyoni mwao?
Wabunge ambao ndio wawakilishi wao,wamedharauliwa mchana kweupe!!!!
Nimekumbuka mambo ya mbayuwayu,nikasikia uchungu sana!Mwaka jana,wafanyakazi waliambiwa itachukua miaka mingi sana kwa Serikali kuweza kulipa kima cha
chini cha 350,000/ kwa mtu mmoja!Sasa wafanyakazi hawa wanagundua kwamba Serikali ilikuwa na uwezo wa kuwalipa hata zaidi ya laki 5 kwa mtu mmoja kama fedha za wizara moja tu zisingeibwa na mawaziri!
Hivi kweli,mwananchi ambaye analipwa laki na nusu,ataenda uwanjani kupiga makofi?Ili iweje?Mchele,sukari,mafuta ya kupika,unga,sabuni,mafuta ya kujipaka,kuni,mkaa,gas,umeme,maji vyote vimepanda bei kutokana na watu wachache walioaminiwa wakaamua kuwasaliti wananchi!!
Mfanyakazi huyu kwake maisha yamekuwa machungu na ndio maana wanafanya alimradi liende tu!!
Tegemeo lake,lilizimia mwaka jana(TUCTA)!!Je,watafufuka tarehe moja!!!!!!!
I am crossing my fingers ili nisisikie kwamba hizi sherehe zikitangazwa kwamba zitakuwepo tarehe moja!!!